Tarehe iliyowekwa: January 25th, 2026
OFISI ya Mkuu wa Wilaya Wanging'ombe inawatangazia vijana wote wanaopenda kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa utaratibu wa kujitolea kwa muda wa miaka miwili kwa mwaka 2025/2026.
...
Tarehe iliyowekwa: January 24th, 2026
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Wanging'ombe, Dkt. Peter Maiga Nyanja anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuajiri watumishi 186 wa ka...
Tarehe iliyowekwa: January 22nd, 2026
WANANCHI wote wa Halmashauri ya wilaya ya Wanging'ombe mnatangaziwa uwepo wa BIMA ya Afya kwa wote (NHIF) ambapo kifurushi cha BIMA hiyo ni kama ifuatavyo:
FAMILIA YA WATU SITA (6):
(1)...