Tarehe iliyowekwa: April 26th, 2018
TIMU ya veterani halmashauri ya wilaya ya wanging’ombe yaifunga timu ya veterani Ilembula kwa mikwagu ya pernati 3 kwa 1 katika uwanja wa
shule ya msingi Igelehedza mjini Ilembuka kwenye bonanza la...
Tarehe iliyowekwa: April 26th, 2018
Wananchi wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe wametakiwa kuuenzi muungano kwa kudumisha amani na Upendo baina yao ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima.
Rai hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya wangin...
Tarehe iliyowekwa: April 14th, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe Ally Kasinge amewaagiza viongozi katika ngazi mbambali Wilayani humo kuanzia Halmashauri hadi kwenye vitongoji kuhakikisha wanatokomeza Mimba kwa Wanafunzi wa s...