Tarehe iliyowekwa: August 2nd, 2025
BANDA letu linapatikana Geti la Mashariki barabara ya kutokea Uwanjani, Mbeya Viwanja vya John Mwakangale.
Bidhaa zinazopatikana ni Unga bora wa Lishe na Soya, Asali halisi, Viazi mviringo, bustani...
Tarehe iliyowekwa: August 1st, 2025
JISAJILI kupata jumbe za Lishe bora kwenye simu ya mkononi. Huduma hii ni "BURE"
Lengo ni kuendelea kuelimisha jamii namna ya kuzingatia lishe bora na kuboresha afya zao.
Mitan...
Tarehe iliyowekwa: July 31st, 2025
Na. Nickson Kombe,
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) wamebuni mfumo wa TEHAMA ambao unatoa fursa kwa Mwalimu mmoja kufundisha ma...