• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

CMT WANGING’OMBE YATEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 2.8.

Tarehe iliyowekwa: October 16th, 2025

Na. Nickson Kombe,


KAMATI ya Watalamu (CMT) ya Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe yatembelea Miradi ya sekta ya Afya na Elimu yenye thamani ya shilingi Bilioni 2.8 katika kata za Igosi, Imalinyi, Luduga, Ilembula na Uhambule.


Akitolea ufafanuzi wa ziara hiyo tarehe 15 Oktoba 2025, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Wakili Joshua Sanga amesema zoezi la ukaguzi wa miradi hiyo ni kuendelea kufanya ufuatiliaji wa karibu ili kuhakikisha miradi inakamilishwa kwa wakati na ubora unaostahili ambapo wananchi kupatiwa huduma bora za afya na elimu mapema iwezekanavyo.


Katika ziara hiyo Wakuu wa Idara na Vitengo walitembelea kata ya 5 ambazo ni Kituo cha Afya – Igosi – Milioni 623 (Igosi), Shule ya Msingi Imalinyi Mkondo B – Milioni 323 (Imalinyi), Kituo cha Afya Luduga – Milioni 623 (Luduga), Shule ya msingi Igheledza Mkondo B – Milioni 323 (Ilembula) na Kituo cha Afya Uhambule – Milioni 623 (Uhambule). Ambapo miradi yote mitano ina thamani ya Bilioni 2.8.


Aidha ziara ya Ukaguzi wa miradi ni endelevu ikiwa lengo ni kuwawezesha menejimenti ya Halmashauri kuendelea kufuatilia na kusimamia ipasavyo ili kupata miradi iliyobora zaidi kwa kuzingatia muda wa utekelezaji miradi hiyo ambapo wananchi wa wilaya ya Wanging’ombe watanufaika zaidi na huduma mbalimbali katika miradi hiyo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: MWENYEKITI WA HALMASHAURI, WANGING'OMBE.

    January 01, 2026
  • ALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: KATIBU TAWALA, WILAYA YA WANGING'OMBE.

    January 01, 2026
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: MKUU WA WILAYA YA WANGING'OMBE.

    January 01, 2026
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE.

    December 31, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.