• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Idara ya Elimu Msingi

TAARIFA YA IDARA YA ELIMU MSINGI.

Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe ina jumla ya shule za Elimu ya Awali 107 za serikali na hamna shule binafsi.Pia halmashauri ina jumla ya vituo sita (6) vinavyotoa Elimu nje.

TAARIFA  ZA WATUMISHI WOTE WA IDARA YA ELIMU MSINGI.

IfuatayonitakwimuyawatumishiwaIdarayaElimuyaMsingiwaHalmashauriyawilayayaWanging’ombe:

 

Na.
MAAFISA/WALIMU

ME

KE

JUMLA

1.
AFISAELIMU WILAYA

1

-

1

2.
MAFISAELIMU TAALUMA

1

1

2

3.
MAFISAELIMU VIFAA NA TAKWIMU

2

-

2

4.
AFISAELIMU YA WATU WAZIMA

1

-

1

5.
AFISAELIMU UFUNDI

1

-

1

6.
AFISAELIMU SAYANSI KIMU

-

1

1

7.
AFISAELIMU VIELELEZO

1

-

1

8.
AFISA MICHEZO NA UTAMADUNI

1

-

1

9.
AFISAELIMU ELIMU MAALUMU

1

-

1

10.
AFISAELIMU KILIMO

-

-

-

11.
MAAFISA ELIMU  KATA

6

15

21

12
WALIMU

364

355

719

JUMLA KUU

379

372

751

SEKTA NDANI YA IDARA NA SHUGHULI ZAKE.

 

Zifuatazonisekta/vitengovilivyopondaniyaidarayaElimuyaMsingi na kazizake:

AFISA ELIMU TAALUMA.

Kuratibu,kusimamia,kuendesha na kutathmini mitihani ya darasa la Nne na Saba kwa kushirikiana na Baraza la Mitihani la Tanzania,Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia.

Kubuni mipango ya kuinua taaluma katika ngazi ya Halmashauri.

Kuratibu mafunzo ya walimu kazini.

Kuratibu mashindano ya taaluma yanayoendeshwa katika wilaya.

Kushirikikatikauchaguziwawanafunziwatakaojiunga na kidato cha kwanza.

Kuratibuutoajiwahudumamuhimukwawanafunzikama vile mahudhurio na uhamisho.

AFISAELIMU VIFAA NA TAKWIMU

  • Kubainimahitajiyawalimu,miundombinu na vifaakatikaHalmashauriilikuimarishautoajiwaelimu.
  • KusimamianakufuatiliaujenziwamiundombinuyashulendaniyaHalmashari.
  • Ukusanyaji,uhifadhi na utoajiwatakwimuzaelimumsingi (kupokea,kuchambua,kuchanganua, kuzifafanua na kuziwasilisha) kwawakatikwamamlakahusika pale zinapohitajika.
  • KumshauriAfisaElimukatikamasualayoteyanayohusiananabajeti na matumiziyaidara.
  • Kusambazavifaakwendamashuleni.
  • Kuhusika na mitihanikatikausimamizi,usafirishaji na usalama wake.
  • KuandaataarifayautekelezajiyaIdarayakilaRobo na kuiwasilishamkoani,TAMISEMI na Wizarani.
  • AFISAELIMU YA WATU WAZIMA.
  • KumshauriAfisaElimuMsinginaSekondarijuuyamaswalayayoteyaElimuyaWatuWazima.
  • Kujibutaarifazaukaguziwavituovya EWW na kuwashirikishawaleziwa Kata waelezwematatizoyamaeneowanayoyasimamia.
  • Kuhimiza na kusimamiautoajiwaEWW,Mtaalampya,MEMKWA,KCM,KCK na MUKEJA na kuratibukwaujiraniutekelezajiwaprogramuhizo.
  • Kusimamiavifaavya EWW nakuhakikishavinatumikaipasavyomashuleni.
  • Kuhakikishavyuovyamaendeleovinaboreshwa.
  • Kuhakikishawatuwazimawotewanajiendeleza,(watumishi na wasiowatumishi).
  • KushughulikiakusajiliwatahiniwawakujitegemeawanaotakakufanyamitihaniNjeyaMfumoRasmi.
  • KushirikiananaMkufunziMkaziwaMkoa na Waratibuwavituokatikasekondari na vyuokatikautoajiwaElimuMasafa.
  • KutafsirimiongozoyaWizarajuuyaElimuyaWatuWazima.
  • AFISAELIMU UFUNDI.
  • KumshauriAfisaElimuwaMsingi,Sekondari, na ElimuyaWatuWazimakuhusumasualayaElimuyaUfundikatikaHalmashauri.
  • KusimamiaElimuyaufundikatikashulezamsingi,sekondari na NjeyaMfumoRasmi.
  • KuandaamakadrioyamapatonamatumizikwaajiliyakutekelezamipangoyaufundikatikaHalmashauri.
  • Kuratibumipangoyoteyaufundiinayoendeshwa na Wizara,TAMISEMI,Taasisi na mashirikayaumma na kijamii.
  • Kuhakikishausalama,kusimamia,uendeshaji na usahihishajiwamitihaniyaufundistadikatikaHalmashauri.
  • Kuteuanakupangawalimuwaufundikatikavituo na shulekwakushirikiana na AfisaElimuwaMsingi na sekondari.
  • Kushirikiana na AfisaElimuVifaa na Takwimu,MratibuwaElimuMaalumu na Mhandisiwawilayakuhakikishaujenziwamadarasa,nyumbazawalimu,vyoo na majengomengineyashuleyanajengwakwakufuatavipimosahihivinavyotolewa na WizarayaElimu.
  • Kusimamiaufunguziwavituovyaufundi na sekondarikulingana na mwongozowaWizara.
  • KutayarishataarifayautekelezajiwaElimuufundiyakilarobomwaka na kuziwasilishamahalipanapostahili.

AFISA UTAMADUNI NA MICHEZO.

Kusimamiamaendeleoyamichezokatikawilaya.

Kufanyausajiliwaawalikwavilabuvyamichezombalimbalikatikawilaya.

Kusimamiavituovyamazoeziyauimarishaji/tibayaviungokwabinadamukatikawilaya.

Kutafsirisherianakanunizamichezombalimbalikwaviongoziwavyama na vilabuvyamichezokatikawilaya.

Kuhakikishakuwauchaguziwaviongoziwavyamavyamichezounafanyikakisheria na kwahaki.

Kuratibumatamashambalimbaliyamichezokatikahalmashauri.

Kufanyausajiliwaawaliwavikundivyasanaakatikawilaya.

Kuratibushughulizautaliiwandani.

Kusimamiashughulizamaendeleoyavijanakatikahalmashauri.

Kuratibushughulizamafunzoyavijanawaskautikatikawilaya.

AFISAELIMU SAYAKIMU.

KuratibushughulizotezaSayakimukatikawilaya.

KuteuanakuanzishavituovipyavyaSayansiKimu na kushaurinamnayakuviendesha.

KusimamiauendeshajiwamiradiyaSayansikimuyauzalishajimalikatikawilayakwakushirikiana na walengwa.

Kuteuawalimuwasayansikimuwanaofaakwakushirikiana na wakuuwavituo.

Kutafutanakusimamiausambazajiwavifaavyotevyasayansikimu na kuvisambazakatikavituohusikakwakushirikiana na AfisaElimuVifaa na Takwimu.

Kuandaataarifayaroboyasayansikimunakuzipelekasehemuzinazohusika.

AFISAELIMU MAALUMU.

KuratibuusajiliwawanafunziwaElimumaalimukatikaHalmashauri.

KupokeanakusambazavifaavyaElimumaalumu.

Kupokea,kuunganisha na kutoatakwimumbalimbalizawanafunziwaElimuMaalumukwendakwawadauwaElimu.

AFISAELIMU VIELELEZO.

KusimamiaupatikanajiwavielelezokatikaidarayaElimuMsingi,Sekondari na ElimuNjeyaMfumoRasmi.

Kuandaa na kutunzakumbukumbuzotemuhimuzaElimuyaWatuWazima,ElimuNjeyaMfumoRasmi na ElimuJumuishi.

Kusimamiataalumayauandishiwavitabuvyakiada,ziada,magazeti na makalambalimbalikwaajiliyaElimuyaWatuWazima naElimuNjeyaMfumoRasmi.

KutathminimipangombalimbaliyaElimuyaWatuWazimanaElimuNjeyaMfumoRasmikatikaHalmashauri.

Kushirikiana na AfisaElimuTaalumawaMsingi,Sekondari na MkutubiwaMkoakatikakusimamiauanzishaji na usimamiziwaMaktabazakata,vijiji na shule.

KushirikiananaAfisaElimuTaalumawaMsingi na Sekondarikuandaavielelezombalimbaliilikuboreshaufundishaji na ujifunzaji.

Kupokea,kuhifadhi na kusambazavifaavyaElimuyaWatuWazima,ElimuNjeyaMfumoRasmi na ElimuJumuishikatikaHalmashauri.

KAZI ZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA UJUMLA.

KuratibunakusimamiautoajiwaElimuMsingikwashulezotezaSerikali na zabinafsi.

Kuratibu na kusimamiauendeshajiwamitihaniyaDarasa la iv na Vii yawilaya,mkoa na taifa.

Kuratibu na kusimamiamafunzoyaElimukazini.

  • Kubainimahitajiyawalimu,miundombinu na vifaavyakufundishia na kujifunziana kuhakikishaupatikanaji wake katikaHalmashauriilikuimarishautoajiwaelimu.
  • KusimamianakufuatiliaujenziwamiundombinuyashulendaniyaHalmashari.

 Ukusanyaji,uhifadhi na utoajiwatakwimuzaElimuMsingi

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE 31 JULAI 2024 July 31, 2024
  • KUITWA KWENYE USAIL September 27, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025

    January 29, 2025
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MKURUGENZI MTENDAJI, DKT. PETER MAIGA NYANJA

    January 28, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.