• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MCHUNGAJI AJITOLEA UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI, S/M LUGODA

Tarehe iliyowekwa: October 7th, 2025

Na. Nickson Kombe,


MCHUNGAJI Daktari Benson Gudaga amejitolea kuchangia kiasi cha milioni 25 kukamilisha ujenzi wa madarasa mawili ya Shule ya msingi Lugoda kata ya Usuka wilayani Wanging’ombe.


Akitolea ufafanuzi huo, Mkuu wa wilaya ya Wanging’ombe, Mhe. Zakaria Mwansasu wakati wa makabidhiano na uzinduzi wa mradi huo, amepongeza hatua hizo zilizofanywa na Mchungaji Daktari Gudaga akishirikiana na wadau mbalimbali pamoja na wananchi wa eneo hilo.


“……. Katika kumbukumbu zangu sijawahi kuona/kusikia Mchungaji amejitolea na kurejesha kwenye jamii kupitia ujenzi wa madarasa haswa Shule za msingi, Hongera sana Daktari Gudaga, wadau na wananchi wote wa eneo hili, sasa nakabidhi madarasa haya kwenye uongozi wa shule ili yaanze kutumika rasmi” alisema Mkuu wa wilaya ya Wanging’ombe.



Ikumbukwe madarasa hayo yameanza kujengwa kwa mchango na nguvu kazi ya wananchi wa Kijiji cha Lugoda ikiwa yanasimamiwa na Mhandisi wa Halmashauri, ambapo hatua za umaliziaji wa majengo hayo umefanyika na Mchungaji Daktari Gudaga kupitia mchango wake wa pesa taslimu 25,110,000.


Aidha Mwenyekiti wa Kijiji cha Lugoda akiwakilisha wananchi wa Kijiji hiko ametoa neno la shukrani kwa Mchungaji Gudaga na kuomba aendelee na jitihada za kuwezesha miradi mbalimbali kijijini hapo Kadiri atakavyoweza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MCHUNGAJI AJITOLEA UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI, S/M LUGODA

    October 07, 2025
  • HERI YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA 2025.

    October 07, 2025
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YARIDHISHWA NA MIRADI SEKTA YA AFYA NA ELIMU - WANGING'OMBE.

    October 06, 2025
  • DC AAHIDI MATENGENEZO YA BARABARA ZA IVIGO – WANGING’OMBE

    October 02, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.