• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAAFISA WATENDAJI KATA 21 KUWAPONGEZA VIONGOZI NGAZI YA WILAYA KWA TUZO MAALUMU, WANGING’OMBE.

Tarehe iliyowekwa: October 7th, 2025

Na. Nickson Kombe,


MAAFISA Watendaji wa Kata 21 za Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe wamewapongeza viongozi ngazi ya wilaya kwa tuzo maalumu akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe, Katibu Tawala na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kwa namna ambavyo wanapata ushirikiano, usimamamizi na mafunzo zaidi kutoka kwa viongozi hao.


Akitolea ufafanuzi wa hafla hiyo, Mwenyekiti wa Watendaji wa Kata, Bw. Festo Mbakilwa ametoa historia na maendeleo ya Halmashauri tangu ilipoanzishwa rasmi 2013 ambapo watendaji baadhi walitokea Njombe na baadae uwepo wa viongozi Hodari walioweza kuleta mapinduzi na kuifikisha Halmashauri ya Wanging’ombe hapo ilipo.


Hata hivyo ametoa pongezi na shukrani za dhati dhidi ya safu ya viongozi ngazi ya wilaya akinukuliwa kusema “……. Tangu amekuwa mtumishi wa umma hajawahi kupata ushirikiano, uongozi na uratibu mzuri zaidi kama viongozi waliopo sasa 2025, kwake imekuwa ni neema kukutana na Mkuu wa wilaya, Katibu Tawala na Mkurugenzi Mtendaji ambao wanahakikisha kila mtumishi anapata haki zake na wananchi wanapata huduma bora na maendeleo” ameyasema hayo Mwenyekiti wa Watendaji Kata, Bw. Mbakilwa.


Kwa upande wa Viongozi wamepewa fursa ya kutoa neno katika hafla hiyo iliyosindikizwa na visinia vya kibabe katika Ukumbi wa Mianzi Kempu, Igwachanya, ambapo Mkuu wa Wilaya amesema kitendo cha kupokea tuzo hizo maalumu, kwao zitabaki kuwa kumbukumbu nzuri ambazo zimeonyesha katika vipindi vyao vya uongozi wamegusa maisha wa watu anaowaongoza na kuacha alama, hivyo ameshukuru kupata tuzo hizo.


Aidha Mtendaji Kata, Bi. Agatha akiwakilisha watendaji wenzake amesema hivi sasa upatikanaji wa haki za watumishi umeboreka zaidi na kwake yeye ameshuhudia kupata kipaumbele aendapo ofisi za Mkurugenzi Mtendaji kitu ambacho kinampa faraja na Fahari ya kupata huduma bora kutoka kwa kiongozi huyo, pia ameahidi kukusanya mapato ili kufikia malengo kadiri iwezekanavyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: MWENYEKITI WA HALMASHAURI, WANGING'OMBE.

    January 01, 2026
  • ALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: KATIBU TAWALA, WILAYA YA WANGING'OMBE.

    January 01, 2026
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: MKUU WA WILAYA YA WANGING'OMBE.

    January 01, 2026
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA 2026: MKURUGENZI MTENDAJI, HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE.

    December 31, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.