• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC MWANSASU: NUNUENI MBEGU ZA MAHINDI KUTOKA MADUKA RASMI – WANGING’OMBE

Tarehe iliyowekwa: November 15th, 2024

Na. Nickson Kombe,

MKUU wa Wilaya ya Wanging’ombe, Mhe. Zakaria Mwansasu amewataka wakulima wote wa mahindi kufanya manunuzi ya mbegu za mahindi kutoka maduka rasmi yenye vibali vya uuzaji wa pembejeo na kutunza risiti zao ili kuepukana na hasara zinazoweza kujitokeza iwapo ustawi wake hautoendana na viwango vinavyohitajika.

Mhe. Mwansasu ameyasema hayo alipokua akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wananchi wa kata za Luduga na Malangali na kuwataka wakulima kuichangamkia fursa hiyo vizuri kwa kununua mbegu bora za mahindi kwa bei nafuu kutoka kwa wauzaji ili kuongeza uzalishaji wenye tija.

Amesema Muongozo wa Serikali kuanzia Septemba 24, 2024 umeweka bayana bei elekezi katika makundi matatu ya mbegu ambapo kuna Mbegu zinazochavushwa huria (Open Pollinated Varieties – OPV) Kilo 2 – 7,000/=, Mbegu Chotora au Hybrid (Zinazokomaa mapema/muda mfupi) Kilo 2 – 14,000/= na kundi la tatu ni Mbegu za Chotora (Zinazokomaa muda mrefu) Kilo 2 – 14,500/= aina kama DK 777, DKC 9086, PANNAR 691, SC 719 TEMBO na ZAMSEED 638.


Hata hivyo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ruzuku ya Mbegu bora za Mahindi kwa Wakulima ikiwa na lengo kuleta mageuzi na tija kwenye Sekta ya Kilimo, ili kuweza kumnufaisha mkulima kwa kupata uhakika wa chakula katika ngazi ya kaya na Taifa kwa ujumla.

Aidha Mbolea za Ruzuku zimeanza kutolewa kuanzia Julai 2024 na wakulima wilayani Wanging’ombe wanajulishwa ya kuwa Zoezi la Uhuishaji wa taarifa za Wakulima na Usajili wa wakulima wapya ili kupata Mbolea za ruzuku linaendelea.




Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.