• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMATI YA USALAMA WILAYA YARIDHISHWA NA MIRADI SEKTA YA AFYA NA ELIMU - WANGING'OMBE.

Tarehe iliyowekwa: October 6th, 2025

Na. Nickson Kombe,


KAMATI ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Wanging’ombe imetembelea miradi 5 yenye jumla ya thamani Bilioni 2.6 ambapo vituo vya afya 3, shule za msingi 2 na kuridhishwa na hatua za ujenzi zilizofikiwa kwa sasa ikiwa pamoja na kuhamasisha uharaka wa utekelezaji wa miradi hiyo ili ianze kuhudumia jamii.


Ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe, Mhe. Zakaria Mwansasu ametoa wito ya kuwa asiwepo mkandarasi au mzabuni ambaye atachelewesha hatua za miradi hiyo ikiwa pamoja na kuongeza idadi ya mafundi haswa hatua za kumalizia miradi hiyo ili kufikia lengo la miradi yenye ubora na kuendana na thamani ya fedha zilizotolewa.



Wito huo umetolewa na Mhe. Mwansasu, Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya wakifanya ziara ya ukaguzi wa Miradi ya ujenzi wa vituo vya afya vya kata za Igosi, Luduga na Uhambule, shule za msingi mkondo B kata za Imalinyi na Igosi ambapo wajumbe wa kamati hiyo wameonyesha kuridhishwa kwa hatua za ujenzi zilizofikiwa.


Ikumbukwe miradi hii inatekelezwa na Force account na kwa sasa kituo cha afya kata ya Igosi kimefikia asilimia 74.6, kituo cha afya Uhambule kimefikia takribani asilimia 70.5, Kituo cha afya Luduga kimefikia asilimia 62.4, shule ya msingi imalinyi mkondo B imefikia asilimia 39.2 na shule ya msingi igosi mkondo B imefikia asilimia 22.4.


Aidha Idara za Afya na Elimu Msingi zimeaswa kuendelea kushirikiana kikamilifu na kitengo cha huduma za sheria halmashauri ili kuhuisha mikataba ya wakandarasi na zoezi la ukamilishaji litekelezwe Kadiri kalenda ya miradi hiyo inavyohitaji, lengo ikiwa ni kutoa huduma kwa wananchi kadiri mipango ya Serikali.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MCHUNGAJI AJITOLEA UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI, S/M LUGODA

    October 07, 2025
  • HERI YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA 2025.

    October 07, 2025
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YARIDHISHWA NA MIRADI SEKTA YA AFYA NA ELIMU - WANGING'OMBE.

    October 06, 2025
  • DC AAHIDI MATENGENEZO YA BARABARA ZA IVIGO – WANGING’OMBE

    October 02, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.