• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI (KFUM), MRADI WA STENDI YA MABASI, IGWACHANYA - WANGING'OMBE

Tarehe iliyowekwa: February 9th, 2024

Na. Nickson Kombe,

WAJUMBE wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (KFUM) wameridhishwa na maendeleo ya Mradi wa Stendi ya Mabasi, Igwachanya kwa Awamu ya Kwanza ya utekelezaji wake.

Akiongea na Timu ya Wataalamu (CMT) wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Diwani Kata ya Imalinyi, Mhe. Onesmo Lyandala ameshauri umuhimu wa kuweka mfumo rasmi wa mifereji ya maji katika Awamu ya Pili ili kudhibiti hali ya kujaa maji haswa kipindi cha mvua.

Hata hivyo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Kenneth Mugina amesema mradi wa stendi ya mabasi unatekelezwa na fedha zitokanazo na mapato ya ndani hivyo wameangazia kuendelea na Awamu ya Pili ya Mradi ambapo utahusisha Ujenzi wa Uzio eneo lote, Mageti Mawili ya Kuingia Stendi na Kutoka, Sakafu ya Pavels eneo lote la Stendi, Mabanda ya Kisasa ya Biashara kuzunguka Stendi ya Mabasi na Uboreshaji ambao Wajumbe wa Kamati wameshauri kutekelezwa.

Awamu ya Kwanza ya Utekelezaji wa Mradi wa Stendi ya Mabasi umekamilika ambapo umekuwa na Jengo la kupumzikia Abiria na Wasafiri, Vyoo vya Kisasa vyenye matundu - 12, Ofisi za Watendaji/Wasimamizi wa Stendi hiyo, Huduma za Maji, Safi na Salama na Miundombinu ya Umeme.

Aidha Sambamba na Utekelezaji wa Awamu ya Pili ya Mradi wa Stendi ya Mabasi Igwachanya, Halmashauri inatazamia kufanya Stendi hiyo kuwa fursa kwa wajasiriamali, wafanyabiashara na kurahisisha huduma za usafirishaji wa abiria Igwachanya.


Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.