


Aidha Mhe. Dkt. Biteko amefurahishwa kukutana na wazalishaji wadogo wenye kuonesha tija ya uzalishaji umeme na kutoa ahadi ya kuwawezesha kununua umeme huo huku akiwatoa wasi Wananchi kuhusu Mpango mkuu wa Taifa wa Uzalishaji umeme kwa kutumia maji, ambapo muda wowote kuanzia sasa Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) litaunganishwa na Gridi ya Taifa na kupunguza makali ya mgao wa umeme.

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.