• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA NAIBU WAZIRI MKUU WANGINGOMBE

Tarehe iliyowekwa: February 21st, 2024

Naibu Waziri Mkuu pia Waziri wa Nishati  Mhe. Dkt. Dotto Biteko ametembelea na kukagua baadhi ya Miradi ya Umeme Vijijini "Kijiji cha Ikwavila" Kijombe inayosimamiwa na REA pamoja na Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Njombe "Njombe Girl's" iliyopo Kijiji cha Usalule kata ya Ulembwe.

Akihotubia Wananchi wa Kijiji cha Ikwavila, Kijombe, Mhe. Dkt. Dotto Biteko amesema Wilaya ya Wanging’ombe yenye vijiji 108 vyote vimekwishafikiwa na miundombinu ya umeme kupitia mradi unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini REA (R3R2) ambapo zimetumika zaidi ya Fedha za Kitanzania Bilioni 9.5 kwa ajili ya kusambaza umeme Vijiji vya Wilaya ya Wanging'ombe.

Pia Mheshimiwa Dkt. Biteko ametembelea kiwanda cha kuchakata nguzo TANWAT, Ambapo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuifungua Wilaya ya Wanging’ombe katika Nyanja zote.

Naibu Waziri TAMISEMI pia Mbunge wa Jimbo la Wanging’ombe, Mhe. Dkt. Festo Dugange amemshukuru Mhe. Dkt. Biteko 'Naibu Waziri Mkuu' kutembelea na kukagua shughuli mbalimbali za kimaendeleo Wilaya ya Wanging’ombe, ambapo ameahidi kuwezesha laini ya umeme kubwa zinazojitegemea, kuongeza vifaa ambavyo vitasaidia kuepusha hitilafu na kutenga laini ili kuzuia eneo kubwa kuathirika kwa hitilafu hizo.

Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa REA, Bw. Geofrey Chibulunje amesema Miradi ya Umeme Vijijini inayosimamiwa (REA), ipo Miradi mitatu, REA Tatu Mzunguko wa Pili (R3R2) Ujazilizi (2B) yenye lengo la kufikia miundombinu ya umeme kwenye Huduma mbalimbali za kijamii kama vile Vituo vya Afya na Pampu za Maji (RUWASA na WANGIWASA).

Aidha Mhe. Dkt. Biteko amefurahishwa kukutana na wazalishaji wadogo wenye kuonesha tija ya uzalishaji umeme na kutoa ahadi ya kuwawezesha kununua umeme huo huku akiwatoa wasi Wananchi kuhusu Mpango mkuu wa Taifa wa Uzalishaji umeme kwa kutumia maji, ambapo muda wowote kuanzia sasa Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP) litaunganishwa na Gridi ya Taifa na  kupunguza makali ya mgao wa umeme.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE 31 JULAI 2024 July 31, 2024
  • KUITWA KWENYE USAIL September 27, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.