• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA KAMATI YA MAENDELEO, UONGOZI NA MIPANGO (KFUM) KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MRADI WA UJENZI WA MADARASA KIDATO CHA 5 NA 6, SHULE YA SEKONDARI, MOUNT KIPENGERE

Tarehe iliyowekwa: October 16th, 2023


Na. Nickson Kombe,
16 Oktoba 2023.


Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo, Uongozi na Mipango, Mhe. Onesmo Lyandala akiongozana na baadhi ya Wajumbe wa Kamati hiyo ametoa pongezi kwa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe katika usimamizi wa fedha mradi wa Ujenzi madarasa Shule ya Sekondari, Mount Kipengere.

Akitoa mrejesho baada ya kusomewa taarifa ya maendeleo ya mradi huo, Mhe. Onesmo Lyandala amesema wataalamu waendelee kutoa msaada wa ushauri ili kupunguza dosari za ujenzi zisizokuwa na ulazima pindi mradi huo unapoenda kukamilishwa.



Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging'ombe, Bi. Maryam Muhaji akitolea ufafanuzi ujenzi wa mradi huu wenye thamani jumla ya Shilingi Milioni 742 ambapo utahusisha ujenzi wa vyumba vya madarasa - 8, matundu ya vyoo - 11,  mabweni ya wavulana - 2, mabweni ya wasichana - 2 (SEQUIP) unatarajiwa kukamilika Disemba 2023.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati hiyo wametoa ushauri wa namna bora ya usimamizi wa mradi huo ili kupunguza dosari ndogondogo za ujenzi zinazojitokeza katika hatua za umaliziaji wa ujenzi.



Aidha Kamati hiyo imeridhishwa na maendeleo ya mradi huo wa ujenzi na kusisitiza mchango na ushirikiano wa watalaamu kujitolea zaidi ili kufanikisha kukamilika kwa mradi huo.

Mkuu wa Shule, Mwl. Belnow Mhanga ametoa pongezi na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada za dhati kuboresha sekta ya elimu, pamoja na Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mbunge wa Jimbo la Wanging'ombe, Mhe. Dkt Festo Dugange na Diwani wa Kata ya Kipengere, Mhe. Mussa Sanga kwa ufuatiliaji wa karibu kipindi cha utekelezaji wa mradi.




Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.