• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATUMISHI WA IDARA YA AFYA WAKUMBUSHWA MAADILI YA KAZI – WANGING’OMBE

Tarehe iliyowekwa: November 9th, 2023

Na Mwandishi Wetu,

Rukia Omary,


Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging’ombe, Bi. Maryam Muhaji amewaasa Watumishi wa Idara ya Afya kuendelea kuzingatia sheria na maadili ya kazi ili kuboresha huduma za afya kwa wananchi katika vituo vyao vya kazi wilayani Wanging’ombe.

Akitolea ufafanuzi baada ya kualikwa kwenye kikao kazi, Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging’ombe, Bi. Maryam Muhaji amesema ni wajibu wa Mtumishi wa umma kuzingatia Sheria za Utumishi wa umma. “Sekta ya Afya ni msingi wa afya bora kwa watu hivyo ni sekta nyeti na inahitajika watumishi wenye weledi na kuzingatia maadili yao ya kazi ili kutoa huduma bora kwa wananchi”. Ikiwa baadhi ya Watumishi wa Afya wanakiuka kanuni na maadili yao ya kazi ni hatari katika Ustawi wa jamii yetu. Hivyo watachukuliwa hatua kali za kinidhamu ili kuhakikisha wanabadilika na kufanya kazi kwa kuzingatia weledi.


Kwa upande wa Afisa Rasilimali Watu, Wilaya ya Wanging’ombe, Bi. Odetha Baninge amesema Mtumishi anapaswa kuzingatia aina ya mavazi yenye kuendana na eneo lake la kazi, uadilifu kazini. Tabia za wizi wa dawa na vitendea kazi ni marufuku, kutokuheshimu mamlaka zilizopo, rushwa kuvujisha siri za wagonjwa.

Akiendelea kwa kutilia mkazo, Mganga Mkuu, Wilaya ya Wanging’ombe, Dkt. Frank Chiduo amesema maadili na weledi kazini ni jambo linalosimamiwa na waganga wafawidhi hivyo haina budi kuheshimu mamlaka hayo waliyopewa katika vituo vyao vya kazi ili kujenga mahusiano mazuri baina ya watumishi na jamii iliyopo karibu na vituo vya afya.


Aidha watumishi wa Idara ya Afya, Wilaya ya Wanging’ombe wametoa neno la Shukrani baada ya kukumbushwa maadili ya kazi. Katibu Afya Hospitali ya Wilaya, Zuhura Kalindima akiwawakilisha watumishi wengineo amesema watazingatia maelekezo waliyopewa na viongozi.




Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.