• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WANGING’OMBE YAJIANDAA NA SHIMISEMITA 2025..

Tarehe iliyowekwa: July 30th, 2025

Na. Nickson Kombe,


Timu ya Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe, imeshiriki bonanza, ili kujiweka tayari kwa ajili ya Mashindano ya Timu za Watumishi wa Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA), yanayotarajia kuanza kutimua vumbi Agosti 15, 2025 jijini Tanga.


Akiongea mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Wasichana mkoa wa Njombe Julai 26, 2025, Mkuu wa Kitengo cha Utamaduni, Michezo na Sanaa, Bi. Anitha Kivike ambaye pia ni msimamizi wa timu ya Watumishi Halmashauri ya wilaya ywa Wanging’ombe amesema, wameamua kujiandaa kwa utaratibu rafiki kuendana na mazingira ya Bonanza hilo maalumu ikiwa ni fursa ya kujiimarisha kwa ajili ya Mashindano yajayo ya SHIMISEMITA.


Kadhalika, katika Bonanza hilo zimechezwa mechi kadha wa kadha baina ya timu rasmi ya watumishi ikijiimarisha dhidi ya timu za wanafunzi wa Sekondari pamoja na timu za vijiji vya Usalule kata ya Ulembwe ambapo matoke oni kama ifuatavyo; Kuvuta Kamba, ambapo timu ya Wasichana ya Sekondari imeshinda dhidi ya Watumishi, kwa upande wa Wanaume, timu ya Watumishi wameshinda dhidi ya Wanakijiji, mchezo wa mpira wa miguu, Watumishi wameshinda 1 – 0 dhidi ya Usalule Heros, Handball; Timu ya Wasichana Njombe Girl’s imeongoza 6 – 4 dhidi ya Watumishi na Volleyball; Usalule Volleys imeshinda Set 2 kati ya 3 dhidi ya Watumishi.



Aidha, Bi. Anitha Kivike amesema ya kuwa Mashindano ya SHIMISEMITA mwaka huu yanatarajiwa kuwa na ushindani na msisimko wa kipekee kwani ushiriki wa timu mbalimbali za Watumishi umekuwa ukiongezeka kwa kila awamu kutokana na Hamasa inayoenda sambamba na tukio adhimu la Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, pamoja na dhamira ya kuwakutanisha Watumishi ili kupeana maarifa na uzoefu na kuimarisha afya ili kuimarisha weledi katika majukumu yao, mashindano ya Mwaka huu yataenda kwa kauli mbiu madhubuti ya kuelimisha na kuwakumbusha Watanzania haki yao ya Kikatiba ya kuchagua Viongozi wao isemayo "Jitokeze Kupiga Kura kwa Maendeleo ya Michezo".






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MCHUNGAJI AJITOLEA UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI, S/M LUGODA

    October 07, 2025
  • HERI YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA 2025.

    October 07, 2025
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YARIDHISHWA NA MIRADI SEKTA YA AFYA NA ELIMU - WANGING'OMBE.

    October 06, 2025
  • DC AAHIDI MATENGENEZO YA BARABARA ZA IVIGO – WANGING’OMBE

    October 02, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.