• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Wanging'ombe bila uchafu inawezekana;DC KASSINGE

Tarehe iliyowekwa: October 13th, 2018

Wananchi Wilayani Wanging'ombe wameagizwa kufanya usafi katika mazingira yao wanamoishi ili kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na hivyo kuondokana na magonjwa yatokanayo na uchafu,Maagizo hayo yametolewa na Mhe Mkuu wa Wilaya Ndg Comrade Ally Kassinge wakati wa siku ya mazoezi kufuatia agizo la Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan yaliyofanyika katika Kijiji cha Igwachanya ambako ndio Makao Makuu ya Halmashauri  tarehe 13/10/2018."Ninaagiza Wananchi wote katika Wilaya ya Wanging'ombe kufanya usafi katika mazingira wanayoishi ili tuweze kuepukana na magonjwa yanayosababishwa na uchafu wa mazingira" alisema Kassinge.

Aidha pamoja na   kufanya mazoezi Mkuu wa Wilaya alifanya kazi ya kuzindua kikosi kazi cha kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ndani ya Kijiji cha Igwachanya ili kufanya usafi kuwa endelevu,katika uzinduzi huo aliweza kugawa vifaa mbalimbali kwa ajili ya kuwawezesha kutekeleza majukumu hayo baadhi ya vifaa vilivyogawiwa ni pamoja na toroli,mavazi  mifagio nk.Pia katika kuhamasisha wananchi kufanya mazoezi Mkuu wa Wilaya alizindua clabu ya wafanya mazoezi ambapo watakuwa wakifanya mazoezi hayo siku za jumamosi ,jumapili,na siku za mapumziko ya Kitaifa.

Siku hiyo iliambatana na madhimisho ya siku ya kifo cha Baba wa Taaifa Mwl Julius Kambarage Nyerere kwa kufanya mdahalo wenye maada "Miaka 19 bila Mwl Nyerere tumejifunza nini katika Elimu na Viwanda" Mdahalo huu uliendeshwa na wadau mbalimbali wakiwemo wataalamu na wanasiasa pamoja na wanafunzi wa ngazi zote kuanzia shule ya msingi hadi Sekondari kidato cha tano aidha wadau hao waliweza kuchangia kwa kuangalia sera za Mwl wakati wa uongozi wake na kufuatia awamu tofauti chini ya Marais tofautitofauti hadi hivi sasa tukiwa awamu ya Tano kwa ujumla wake awamu zote zimetekeleza kwa kadri ya uwezo wao lakini walisistiza kuwa awamu hii ya tano imejikita kwelikweli katika kuhakikisha elimu na viwanda vinaboreshwa na kuona kuwa awamu hii inaenenda sawasawa na nyendo za Mwl Nyerere.

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.