• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WANANCHI WAPOKEA VYEMA ZOEZI LA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA - WANGING'OMBE

Tarehe iliyowekwa: October 11th, 2024


Na. Nickson Kombe,

WANANCHI wa wilaya ya Wanging'ombe wamepokea vyema zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Wapiga kura wakati wa Uzinduzi wa Zoezi hilo katika Kitongoji cha Wangama, kijiji cha Chalowe kata ya Igwachanya.

Akizindua Zoezi la Kujiandikisha katika Daftari la wapiga kura leo Oktoba 11, 2024, Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe, Mhe. Zakaria Saili Mwansasu ametumia fursa hiyo kuendelea kuhamasisha na kutoa elimu dhidi ya zoezi hilo namna ambavyo limekuwa ni la muhimu kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 na maendeleo ya jamii katika upatikanaji wa viongozi bora.

Hata hivyo katika Uzinduzi wa zoezi hilo, ambapo linafanyika katika vitongoji 525 vya wilaya ya Wanging'ombe limepokelewa vyema na wananchi wamehamasika sana jambo ambalo limepelekea kufanikiwa kwa asilimia 22 kufikia leo kuu la kuandikisha wapiga kura 112,792 wilaya yote.


Aidha Viongozi ngazi ya wilaya, kata na vitongoji wametumia nafasi hiyo kuwahimiza wananchi kuendelea kutumia haki yao ya msingi kuhakikisha wale wenye vigezo vya kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura, wanajitokeza kwa wingi kujiandikisha ili ifikapo tarehe 27 Novemba 2024 waweze kuwachagua Viongozi wanaowataka

Ikumbukwe kuwa zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga Kura litafanyika kwa muda wa siku 10 kuanzia leo tarehe 11 hadi 20 Oktoba 2024.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MCHUNGAJI AJITOLEA UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI, S/M LUGODA

    October 07, 2025
  • HERI YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA 2025.

    October 07, 2025
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YARIDHISHWA NA MIRADI SEKTA YA AFYA NA ELIMU - WANGING'OMBE.

    October 06, 2025
  • DC AAHIDI MATENGENEZO YA BARABARA ZA IVIGO – WANGING’OMBE

    October 02, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.