• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UTAMBULISHO WA MRADI WA HUDUMA ENDELEVU ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI - (SRWSSP)

Tarehe iliyowekwa: October 19th, 2023

Na. Rukia Omary,

Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging’ombe, Bi. Maryam Muhaji akiambatana na wataalamu wa Idara ya Afya wamefanya utambulisho wa Mradi endelevu wa maji na usafi wa mazingira (SRWSSP) kwa viongozi, watendaji na watumishi kutoka vijiji lengwa katika Ukumbi wa Halmashauri.

Akitolea ufafanuzi wa utekelezwaji wa mradi huo, Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging’ombe, Bi. Maryam Muhaji amesema programu hii imeanzishwa ikiwa na dhumuni la kuboresha afya na mazingira ambapo itahusisha utoaji elimu ya Afya na usafi wa mazingira ngazi ya jamii, ujenzi wa miundombinu kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya katika zahanati ya Ulembwe, Ivigo, na Samaria. Shule za msingi Mhaji na Ulembwe utafanyika ujenzi wa miundombinu bora ya vyoo, matenki ya maji na kujenga vichomea taka.



Mganga Mkuu, Wilaya ya Wanging’ombe, Daktari Frank Chiduo ametolea ufafanuzi Mradi wa (SRWSSP) ikiwa na maana ya “Suistainable Rural Water Supply and Sanitation Program” unaogharimu jumla ya Shilingi Milioni 255.1 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu bora ya vyoo, matenki ya maji na kujenga vichomea taka katika vituo vya afya (Zahanati – 3) na Shule za Msingi 2.

Hata hivyo Afisa Afya Wilaya ya Wanging’ombe, Bw. Abdul Mwasumbi amesema kuwa ili kunufaika zaidi na mradi huu wa mbegu, Halmashauri imejipanga pindi mradi huu utakapokamilika kwa kupata zaidi ya shilingi milioni 399 ambazo zitaendeleza utekelezaji wa miradi mingine katika maeneo mengine.



Baadhi ya viongozi wa vijiji vinavyonufaika na mradi, maafisa watendaji wa kata na vijiji na watumishi wa umma kama wakuu wa shule wanaonufaika na mradi huu walitoa neno la Shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada za dhati kuboresha afya na mazingira ya wananchi akishirikiana na Mbunge wa Jimbo la Wanging’ombe, Mhe. Dkt. Festo Dugange na madiwani kata za Ulembwe, Igima, Igosi na Makoga.

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.