• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKUU WA MKOA AMEAGIZA KUVUNJWA KWA MKATABA WA KUKUSANYA USHURU HALMASHAURI YA MJI WA NJOMBE ;

Tarehe iliyowekwa: February 21st, 2018

MKUU wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka ameagiza mkataba uliokuwa baina ya Kampuni ya udalali ya Ihagala Auction Mart na Halmashauri ya Mji wa Njombe wakufanya kazi ya kukusanya kodi na ushuru kutoka kwa wafanyabiashara uvunjwe.


Ole Sendeka ametoa agizo hilo juzi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe,Bi, Iluminata Mwenda baada ya kukutana na wafanyabiashara kwenye kikao kilichofanyika katika ukumbi wa turbo mjini Njombe.


"Sijaridhika na jinsi ambavyo kampuni ya Ihagala kwanza ilivyopatikana, imepatikana kwa kweli kwa mlango wa nyuma, haikufuata sheria ya manunuzi, lakini najua kuna mambo mazuri umeyafanya ya kusaidia ukusanyaji wa kodi, ukweli kampuni yenyewe na utendaji wa kazi, umegeuka kuwa kero kwa wafanyabiashara," alisema Ole Sendeka.


Alimuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Njombe kuzingatia sheria ya manunuzi katika kumpata mtu atakayesaidia ukusanyaji wa ushuru kwa wafanyabiashara.


"Mkataba uvunjwe haraka inavyowezekana, baada ya tarehe 28 Februari anza mchakato kaa na madiwani wako na wataalam wako, shaurianeni muone uwezekeno wa kukusanya kodi nyie wenyewe na ikishindikana mtangaze tenda ya wazi, ili madalali wote waweze kushindania na atakayeshinda akubali kufanya kazi kwa utaratibu ambao hata geuka kuwa tatizo kwa Njombe Mji," alisema Ole Sendeka.


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara mkoani Njombe, Onesmo Mwajombe alisema kilio kingi cha wafanyabiashara mkoani hapa kilikuwa ni kuilalamikia kampuni hiyo ya Ihagala kufanya kazi kwa kuwanyanyasa na kuwapiga wafanyabiashara wakati wanapokwenda kudai kodi na ushuru.


Naye Mkurugenzi wa kampuni hiyo ya Ihagala auctin malt Caly Msango alisema kuwa tuhuma hizo si za kweli ila amekuwa akiisaidia halmashauri kukusanya mapato.


Miongoni mwa tuhuma ambazo kampuni hiyo imelalamikiwa ni ya wafanyakazi wanaokusanya ushuru na kodi kudaiwa kuchukua kiasi cha shilingi elfu hamsini kwa manufaa ya kampuni yenyewe.
"Kuna mtu unamkuta hana hela, Siyo elfu hamsini yote inachukuliwa, namwambia funga duka lako nenda kalipe leseni, kama ni ushuru analipa palepale," alisema Msango.


Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.