• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MKURUGENZI MTENDAJI WANGING’OMBE, DKT. NYANJA APEWA TUZO YA UONGOZI BORA.

Tarehe iliyowekwa: September 3rd, 2025

Na. Nickson Kombe,

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe, Dkt. Peter Maiga Nyanja ametunukiwa tuzo maalumu na zawadi kwa kutambua mchango wake katika usimamizi wa taasisi, ambapo ameimarisha uwazi, uadilifu na uwajibikaji wakati wa kikao kazi na watendaji 108 wa vijiji vya wilaya ya Wanging’ombe kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

Mwenyekiti wa Umoja wa Watendaji wa Vijiji, Bi. Mariam Mbuji amemkabidhi Mkurugenzi Dkt. Nyanja tuzo hiyo leo Septemba 02, 2025, kwa niaba ya watendaji 108 wa vijiji ikiwa lengo ni kutoa neno la shukrani baada ya kuiongoza taasisi na kufikia lengo na kuzidi la ukusanyaji wa mapato katika mwaka wa fedha 2024/25 kutoka Bilioni 4 hadi Bilioni 6.

Hata hivyo Mkurugenzi Dkt. Nyanja amehamasisha watendaji hao kuendelea kukusanya mapato kadiri iwezekanavyo ili kufikia lengo na itabaki kwake utekelezeaji wa ununuzi wa pikipiki 108 za watendaji wa vijiji ili kurahisisha majukumu yao katika maeneo ya kazi.

Aidha Mwenyekiti wa Umoja wa Watendaji wa Vijiji, Bi. Mariam amesema nanukuu “Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni….” kwa jinsi ambavyo Mkurugenzi Dkt. Nyanja ameongeza hamasa ya ukusanyaji mapato na kuwawezesha watendaji wa vijiji kufikia malengo kwa kuwapa mafunzo na mbinu mbalimbali za kukusanya mapato.









Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MCHUNGAJI AJITOLEA UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI, S/M LUGODA

    October 07, 2025
  • HERI YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA 2025.

    October 07, 2025
  • KAMATI YA USALAMA WILAYA YARIDHISHWA NA MIRADI SEKTA YA AFYA NA ELIMU - WANGING'OMBE.

    October 06, 2025
  • DC AAHIDI MATENGENEZO YA BARABARA ZA IVIGO – WANGING’OMBE

    October 02, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.