• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Mbio za Mwenge wa Uhuru zang'ara Wanging'ombe

Tarehe iliyowekwa: May 29th, 2018

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ndg Charles Francis Kabeho  amepongeza miradi iliyokaguliwa na Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Wanging’ombe kuwa ni ya kiwango kinachoendana na thamani ya fedha, aliyasema hayo terehe 29/05/2018 katika kijiji cha Imalinyi alipokuwa akikagua mradi wa barabara ya estate namba 5 masilu.

“Naridhia kuweka jiwe la ukaguzi wa ujenzi wa barabara hii kwa kuwa nimeridhika na namna ambavyo Mkandarasi amefanya kazi vizuri pamoja na wahandisi wanaosimamia mradi”alisema Ndg Kabeho.

Aidha Kiongozi wa Mbio za Mwenge alipongeza ujenzi wa madarasa matatu,bweni,choo aliofungua katika shule ya sekondari Wanike na ujenzi  unaoendelea katika Kituo cha Afya Wanging’ombe ameomba salamu za pongezi ziwafikie wale wanaotengeneza Tofari kwani ni za viwango.

Wakati Mwenge wa Uhuru ukikimbizwa Mkuu wa Wilaya Comred Ally Kasinge alimuhakikishia Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa kuwa atasimamia yale yote aliyoshauri na kuagiza kwa dosari mbalimbali zilizoonekana katika miradi atahakikisha zinarekebishwa.

Aidha ujumbe wa mwenge Mwaka 2018 umefikishwa vizuri kwa wananchi wa Wilaya ya Wanging’ombe ukiwa na kauli mbiu “Elimu ni Ufunguo wa Maisha Wekeza Sasa kwa maendeleo ya Taifa Letu” pamoja na kauli mbiu hii Mbio za Mwenge wa Uhuru zimehamasisha wananchi wa Wilaya ya Wanging’ombe kuendeleza Mapambano dhidi ya Rushwa,VVU/UKIMWI, Matumizi ya madawa ya kulevya na mapambano dhidi ya Malaria.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa ameendelea kutoa pongezi za dhati kwa Uongozi wa Wilaya na Halmashauri kwa ujumla kwa namna ambavyo wamepokea Mwenge kwani kila walipopita wananchi walijitokeza kwa wingi kuulaki Mwenge wa Uhuru “Ingekuwa ni amri yetu tungeamua kubaki Wanging’ombe kwa kuwa Mlitupokea Vizuri na Kutukarimu” alisema Ndg Kabeho.

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.