• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAKUBALIANO MPANGO WA UJENZI SHULE MBILI ZA SEKONDARI KWA AWAMU KATA YA IGIMA

Tarehe iliyowekwa: October 18th, 2023


Na. Nickson Kombe,
18 Oktoba 2023.

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (KFUM) wakiambatana na wawakilishi kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Wanging'ombe wameridhia mpango wa Ujenzi Shule mbili za Sekondari Kata ya Igima utakaotekelezwa kwenye vijiji viwili ambavyo ni Nyumbanitu na Lusisi.

Akitoa mrejesho mara baada ya kusomewa taarifa ya Kamati ya Maendeleo ya Kata (KAMAKA) Igima, Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi, Uongozi na Mipango (KFUM), Mhe. Onesmo Lyandala amesema kutokana na sababu za kijiografia, idadi ya wanafunzi na utayari wa wananchi wa kata ya Igima hamna budi kutekeleza mpango wa ujenzi wa Shule mbili za Sekondari kwa awamu katika vijiji vya "Nyumbanitu" na "Lusisi".


Akifafanua zaidi kuhusiana na utaratibu utakaotumika kutekeleza mpango huo, Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging'ombe, Bi. Maryam Muhaji amesema atatoa ushirikiano pale ambapo KAMATA watahitaji ushauri wa wataalamu mbalimbali kipindi cha ujenzi ili ujenzi wa Shule hizo uweze kukidhi vigezo vya usajili unaoratibiwa na mamlaka za usimamizi wa ubora Sekta ya Elimu. Mpango wa Ujenzi Shule ya Sekondari Kata ya Igima imezidiwa na idadi ya wanafunzi haswa wanaojiunga kidato cha Kwanza na kupelekea uhitaji wa ongezeko la Shule ya Sekondari Kata ya Igima.

Hata hivyo mara baada ya wajumbe wa Kamati ya Maendeleo Kata (KAMAKA) kushindwa kukubaliana ni kijiji kipi kati ya "Nyumbanitu" au "Lusisi"  ujenzi huo utekelezwe. Waliamua kuwashirikisha wataalamu kutoka Halmashauri kufanya ukaguzi wa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari iwapo yamekidhi vigezo, na ndipo wataalamu kurejesha sababu za kuchagua kijiji cha "Nyumbanitu", Akitolea ufafanuzi wa changamoto mbalimbali walizopitia awali, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Diwani Kata ya Igima, Bi. Paulina Samata.


Wawakilishi kutoka Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Wanging'ombe wamesisitiza dhidi ya ushirikiano baina ya wajumbe wa KAMAKA ili kufanikisha utekelezwaji miradi ya mpango wa ujenzi wa Shule mbili za Sekondari Kata ya Igima.

Aidha Wajumbe wa KAMAKA, Igima wametoa neno la shukrani kwa usuluhishi wa mgogoro huo.




Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.