• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAKAMU WA RAIS, MHE. DKT. PHILIP MPANGO AELEKEZA MAMLAKA ZA ARDHI KUSULUHISHA MGOGORO WA MIPAKA YA WILAYA ZA WANGING'OMBE NA MAKETE

Tarehe iliyowekwa: October 27th, 2023

Na. Nickson Kombe,


Makamu wa Rais, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ameelekeza usuluhishi wa mipaka ya Wilaya za Wanging'ombe na Makete akiwa kwenye ziara mkoa wa Njombe, Kata ya Kipengere.

Akisikiliza changamoto zinazowakabili wananchi wa Jimbo la Wanging'ombe, Mhe. Mpango ametoa muda usiozidi siku 30, wataalamu kutoka Wizara ya Ardhi na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa zikishirikiana na Halmashauri zote mbili kufanya kikao wakiwa eneo husika katika kijiji cha Moronga kilichopo mpakani ili kuondoa utata wa muda mrefu uliopo na kuacha kusumbua wakulima na wafanyabiashara katika zoezi la ukusanyaji mapato ya Halmashauri hizo.


Hata hivyo baada ya maelekezo hayo, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthon Mtaka amesema utekelezaji wa tamko hilo umepokelewa na utafanyiwa kazi na wataalamu pamoja na viongozi wanaohusika watakapokutana kijiji cha Moronga, akinukuliwa kwa msemo wa "Mgogoro wa Shamba usuluhishwa Shambani..." Hivyo timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Ardhi, Mkoa na Halmashauri pamoja na viongozi watakutana saiti ili kumaliza changamoto iliyopo.

Akitolea ufafanuzi wa Mgogoro huo, Diwani Kata ya Kipengere, Mhe. Mussa  Sanga ameomba mamlaka za ardhi kurahisisha zoezi hilo kwa kuleta nyaraka za uratibu wa jiografia za mwaka 1980 na kuondoa utata uliopo.


Aidha wananchi wa Kata ya Kipengere ambao wamehudhuria  mkutano huo wamesema wanakumbana na changamoto za usumbufu wa utozwaji ushuru mara mbili getini pindi wanapo safirisha mazao yao na bidhaa nyinginezo. Na kupelekea kukwepa tozo hivyo kuikosesha mapato serikali.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE 31 JULAI 2024 July 31, 2024
  • KUITWA KWENYE USAIL September 27, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025

    January 29, 2025
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MKURUGENZI MTENDAJI, DKT. PETER MAIGA NYANJA

    January 28, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.