• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAFANIKIO YA MIAKA 60 YA UHURU YAENZIWE

Tarehe iliyowekwa: December 8th, 2021

Na

Veronica Keneth


Katika kuadhimisha miaka 60, ya Uhuru wa Tanganyika,Mkoa wa Njombe uliteua Wilaya ya Wanging′ombe  kuwa mwenyeji wa Maadhimisho hayo ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mhe Mkuu wa Mkoa wa Njombe Marwa Lubirya.Kumeku

kuwa na mafanikio mengi katika Nchi yetu Mkoa wetu na Wilaya zetu tangu nchi hii ilivyopata Uhuru nawaomba wananchi wenzangu tuyaenzi mafaniko haya kwa kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kudumisha Amani yetu alisema Mkuu wa Mkoa, ameyasema hayo

wakati wa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tnganyika yenye kauli mbiu

“Miaka 60 ya Uhuru Tanzania imara Kazi iendelee″ yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Wanging'ombe maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya Hospitali ya Wilaya ambapo yaliambatana na Uwekaji wa Jiwe la Msingi katika Majengo ya Hospitali ya Wilaya y

yaliyopo Katika Kijiji cha Ihanja leo tarehe 08/112/2021.

Akifungua Sherehe hizo Mhe Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Lautery John Kanoni alimshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuipa Heshima Wilaya yake kuwa Mwenyeji wa Maadhimisho hayo.Wilaya ya Wanging'ombe ni Wilaya changa kati ya Wilaya zote za Mkoa wa Njombe

pamoja na uchanga wake kuna mafanikio makubwa yaliyopatika tangu kuanzishwa kwake ikiwa ni Mafanikio katika sekta ya Elimu ambapo uandikishaji umeoongezeka,vyumba vya madarasa vimeongezeka,Idadi ya Walimu pia imeongezeka Sekta ya Afya pia kuna mabadiliko makubwa ikiwemo ongezeko la vituo vya kutolea Huduma za Afya ikiwemo hospitali hii ambayo leo umeweka jiwe la Msingi.

Secta ya Maji upatikanaji wa Maji pia Umeongezeka kwa kiasi kikubwa sana,Secta ya Barabara kumekuwa na Ongezeko la barabara nyingi zinazo wezesha Wananchi kusafirisha mazao yao bila shida yeyote,Secta ya Umeme ambapo kwa sasa takribani vijiji 100 vimefikishiwa Umeme na Mchakato wa kumalizia vijiji nane vilivyobaki unaendelea.Aliongeza kwa kusema Pia Halmashauri imeweza kuongeza wigo wa ukusnyaji Mapato toka Tsh 600,000,000/=

hadi Tsh 2,900,000,000/=

Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Njombe wakiwemo Wakuu wa Wilaya zote,wakurugenzi,Makatibu tawala wa Wilaya

na Waheshimiwa Madiwani  na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa na Wilaya.

Akihutubia Wananchi Mhe Mkuu wa Mkoa aliwakumbusha wananchi kuwa ili tuyaenzi mafanikio hayo na kuyafanya yawe na Mwendelezo ni lazima kuwa na Wanchi wenye afya Njema hivyo amewasihi wananchi kujitokeza kuchanja dhidi ya Ugonjwa  wa Uviko-19 ambao kwa sasa kunatishio la wimbi la nne.

 Pia amewakumbusha ili serikali iweze kugawa rasilimali zake bila ya upendeleo ni lazima ijue idadi ya Wananchi wake itakayokuwa inawahudumia hivyo amewasihi wananchi pia kujitokeza kuhesabiwa katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Mwakani mwezi wa nane.

Katika Maadhimisho hayo walitambuliwa wazee waliozaliwa tarehe 09/12/wakati wa uhuru na kuwalisha Keki iliyoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe Bi Maryamu A Mhaji Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Halmashauri imeandaa Keki ikiwa ni ishara ya kuenzi Yote Mazuri yaliyofanyika na Serikali tangu kupata Uhuru na kuheshimu jitihada za wazee wetu waliokuwepo tangu Uhuru alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Viongozi wa CCM mkoa pia walipata fursa ya kutoa salamu za Miaka 60 ya uhuru ambapo katoibu wa CCM Mkoa aliweza kuwasalimu wananchi na kujitambulisha rasmi kuwa yeye ndie Katibu wa CCM wa Mkoa wa Njombe na amekuja kuktetea Chama ili kuiwezesha Serikali iliyoko Madarakani kutekeleza Ilani yake vizuri hivyo amewaomba wananchi kuchapa kazi.



Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.