• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAENDELEO YA NCHI YATALETWA NA WANANCHI WENYE AFYA BORA KUPITIA CHF ILIYOBORESHWA

Tarehe iliyowekwa: November 7th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Comrade Ally Kasinge amewahamasisha Wananchi wa Wilaya ya Wanging'ombe kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya ya jamii iliyoboreshwa . Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo katika kijiji cha Chalowe tarehe 7/11/2019 wakati wa sherehe za uzinduzi wa uandikishaji wananchi katika CHF iliyoboreshwa .

"Nawaagiza wananchi wote kuhakikisha mnajiunga na mfuko wa Bima ya Afya ya jamii iliyoboreshwa kwani ina faida nyingi ikiwemo kutibiwa katika hospital yeyote ya Serikali ndani ya Mkoa na ongezeko la wigo wa huduma za afya tofauti na ilivyokuwa awali " Alisema Kasinge.

Katika uzinduzi huo Mkuu wa Wilaya aliongozana na M/kiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji na Wataalamu wa afya wa Wilaya pamoja na Afisa TEHAMA Bw Amon Chalamila ambae ndio msimamizi wa mfumo huo. Akitoa hotuba  M/kiti wa Halmashauri Mhe Antony Mahwata aliwasisitiza wananchi wajitokeze kwa wingi ili kuweza kutumia fursa hiyo ambayo Serikali ya Awamu ya tano ameamua kuboresha huduma za Afya. Nae Mkurugenzi Mtendaji aliwaasa wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa ili waweze kupata fursa ya kutibiwa wakati wamepata maradhi.

"Ndugu zangu maradhi huwa hayabishi hodi , unaweza ukapatwa na ugonjwa wakati wowote ule ambapo hauna fedha hivyo kwa kulipia shilingi 30,000/= kwa kaya yenye watu 06 itawasaidia kupata huduma za matibabu muda wowote" Alisema Edes Lukoa.

Mkuu wa Wilaya ametumia fursa hiyo kuwataka wahusika wote kuanzia ngazi ya Wilaya hadi kijiji kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika CHF iliyoboreshwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE 31 JULAI 2024 July 31, 2024
  • KUITWA KWENYE USAIL September 27, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025

    January 29, 2025
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MKURUGENZI MTENDAJI, DKT. PETER MAIGA NYANJA

    January 28, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.