• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe yapongezwa

Tarehe iliyowekwa: December 23rd, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe imepongezwa kwa kutekeleza vizuri mradi wa Ujenzi wa Vyumba 51 vya madarasa kupitia Mradi Na.5441 TCRP.Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Tawala Wa Mkoa Bi Judika Omary leo tarehe 23/12/2021 katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe alipokuwa katika ziara ya Ukaguzi wa Miradi

”Kipekee nichukue fursa hii kuwapongeza Mkuu wa Wilaya,Mkurugenzi Mtendaji, Wakuu wa Idara,Watumishi wote kuanzia ngazi ya Kata hadi vijiji pamoja na wananchi wote kwa kazi kubwa na nzuri mliyoifanya kwani naamini bila ushirikiano huo kazi hii ingekuwa bado sana niwaombe mdumishe ushirikiano huu kwa miradi yote itakayoendelea kuja”. Alisema Katibu Tawala.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe Bi Maryam Muhaji amesema kwa asilimia 99 mradi umekamilika mambo yaliyobaki ni madogo madogo ikiwemo kupanga madawati kufanya usafi wa maeneo ya ujenzi  alimuhakikishia Katibu Tawala kuwa amepokea maelekezo yote na atayafanyia kazi na kuhakikisha Madarasa yote yanakamilika kabla ya Tarehe 31/12/2021 ambayo ni siku ya mwisho Kitaifa ya Kukabidhi Mradi huo."Nipende kukushukuru Katibu Tawala kwa Ziara yako napokea ushauri wote ulioutoa na kuufanyia kazi ili kuhakikisha Madarasa haya yanakamilika kabla ya tarehe 31/12/2021 ili ifikapo januari 2022 watoto wetu waweze kutumia vyumba hivi kama ilivyo nia ya Serikali".Alisema Mkurugenzi

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 WILAYA YA WANGING'OMBE December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI March 18, 2019
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA July 09, 2019
  • MWENGE WA UHURU September 13, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • Utekelaji Anwani za Makazi wafikia asilimia 67 kwa Ikoa yote

    March 31, 2022
  • VIJANA 246 WAPATIWA MAFUNZO ANWANI ZA MAKAZI

    March 22, 2022
  • WANANCHI KATA YA IMALINYI WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

    March 17, 2022
  • WANANCHI KATA YA WANGAMA WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

    March 12, 2022
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • REGISTRATION OF ALLIED HEALTH PROFESSIONALS
  • Mfumo wa maombi ya Ajira

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.