• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

FURSA ZA VIBARUA ZATANGAZWA MRADI WA UJENZI SHULE MAALUMU YA WASICHANA YA MKOA, KIJIJI CHA USALULE, KATA YA ULEMBWE - WANGING'OMBE

Tarehe iliyowekwa: October 16th, 2023


Na. Nickson Kombe,
16 Oktoba 2023.

Ziara ya Ukaguzi wa Miradi na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (KFUM) imeshauri ongezeko la vibarua wa ujenzi ikiwa na dhumuni la kufanikisha ukamilishwaji wa mradi huo tarehe 30 Disemba 2023.

Akitoa mrejesho baada ya kusomewa taarifa ya ujenzi wa mradi huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (KFUM), Mhe. Onesmo  Lyandala amesema wananchi waliopo karibu na mradi huo pamoja na vijana wa Wanging'ombe wenye ujuzi na uwezo wa kufanya shughuli za ujenzi wafike eneo la mradi na kuwasiliana na Mhandisi wa Mradi, Joseph Masasi ili awapangie majukumu mbalimbali ya ujenzi chini ya usimamizi wa mafundi.


Mkurugenzi Mtendaji, Wilaya ya Wanging'ombe, Bi. Maryam Muhaji akisisitiza ongezeko la nguvukazi katika utekelezaji wa mradi huo, amesema changamoto ya upatikanaji wa nishati ya umeme eneo la mradi inatafutiwa ufumbuzi ili kazi zifanyike masaa 24 kwani mradi huo ni mkubwa na una thamani ya Shilingi Bilioni 4.1 ambapo ni ujenzi wa vyumba vya madarasa - 22, mabweni - 9, nyumba za walimu - 5, jengo la utawala - 1, bwalo - 1, jengo la TEHAMA, Maktaba, Maabara - 4 na Matundu ya Vyoo - 16.

Hata hivyo Wajumbe wa Kamati hiyo wamesisitiza wataalamu kushirikiana kufanya kazi ili kufanikisha utekelezwaji wa mradi huo uliochelewa kutokana na zoezi la uvunjaji mikataba na kandarasi mbalimbali hapo awali.

Aidha Mhandisi wa Mradi, Joseph Masasi ameweka kambi eneo la mradi kuhakikisha uhitaji wa mafundi, ushauri wa kitaalamu, usimamizi wa karibu unafanyika kwa wakati na utekelezwaji wa mradi huo ukamilike kwa muda uliopangwa.




Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.