• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

FAHAMU KUHUSU ANWANI ZA MAKAZI

Tarehe iliyowekwa: February 25th, 2022

Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WMTH) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inatekeleza Mfumo wa Anwani za Makazi nchini.

Mfumo huu ni Muundombinu unaotambulisha mtu alipo, anapopatikana ama anapotakiwa kuhudumiwa (nyumbani, ofisini ama eneo la biashara).

Chimbuko la Anwani za Makazi ni Sera ya Taifa ya Posta ya mwaka 2003, Makubaliano ya Kimataifa (Pan African Postal Union(PAPU) na Universal Postal Union(UPU)) na Ilani ya Chama Cha Mmapinduzi (CCM) ya 2020 – 2025 kifungu Na. 61(m) zinazoelekeza kuhakikisha Anwani za Makazi zinawekwa nchini ili kurahisisha upatikanaji, utoaji na ufikishaji wa huduma katika maeneo mbalimbali.

•Anwani ya Makazi inaundwa na vitu vikuu vitatu ambavyo ni:

1. Namba ya Anwani (namba ya jengo/kiwanja)•

2. Jina la Barabara/Jina la Kitongoji/Shehia na•

3. Postikodi

•Namba ya Anwani inaweza kueleweka kama namba ya jengo/nyumba. Hata hivyo ni vyema kutumia “Namba ya Anwani” kwani baadhi ya anwani hazina majengo

.•Hii ni namba kamili inayoonekana mbele ya jengo kwenye kibao cha njano au iliyochorwa kwa karamu ya rangi kwenye ukuta wa nyumba, getini au mlangoni.

•Namba ya Anwani inaweza kueleweka kama namba ya jengo/nyumba. Hata hivyo ni vyema kutumia “Namba ya Anwani” kwani baadhi ya anwani hazina majengo.

Anwani ya Makazi inajumuisha taarifa za kijiografia, wamiliki na wategemezi wa Anwani, majengo yaliyopo kwenye Anwani na huduma mbalimbali zinazopatikana kwenye Anwani husika (mf. Shule, Zahanati n.k)

  • Faida ya Mfumo wa Anwani za Makazi:-
  • Kila mtu anayeishi Tanzania atakuwa na anwani halisi ya makazi;
  • Kila biashara inayosajiliwa Tanzania itakuwa na anwani halisi ya makazi;
  • Utambulisho wa  watu wanaoishi katika  Jamhuri  ya Muungano wa  Tanzania utarahisishwa;
  • Usajili wa mali,  biashara, vizazi na vifo utaboreshwa;
  • Huduma za  dharura, kama   vile  polisi,  zimamoto  na  magari ya  wagonjwa, zinaweza kutambua maeneo yenye dharura na kuyafikia kwa haraka;
  • Wageni  wanaweza kubaini mahali  wanakokwenda kirahisi;
  • Mabenki na taasisi nyingine za fedha  zitaboresha utendaji kazi wao;
  • Mamlaka za Mapato zitabaini walipa kodi kirahisi;
  • Makampuni yanayotoa huduma kwa umma yataboresha huduma zao;
  • Muda mfupi  utatumika katika  utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi ikiwa ni pamoja na usafiri  na huduma za posta.
  • Kuwezesha kufanyika kwa biashara mtandao;
  • Kuchangia kuimarisha ulinzi na usalama
  • Kutengeneza ajira;
  • Kuwezesha mipango na tafiti kufanyika kwa tija
  • Kupunguza gharama za kupata huduma

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 WILAYA YA WANGING'OMBE December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI March 18, 2019
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA July 09, 2019
  • MWENGE WA UHURU September 13, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • Utekelaji Anwani za Makazi wafikia asilimia 67 kwa Ikoa yote

    March 31, 2022
  • VIJANA 246 WAPATIWA MAFUNZO ANWANI ZA MAKAZI

    March 22, 2022
  • WANANCHI KATA YA IMALINYI WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

    March 17, 2022
  • WANANCHI KATA YA WANGAMA WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

    March 12, 2022
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • REGISTRATION OF ALLIED HEALTH PROFESSIONALS
  • Mfumo wa maombi ya Ajira

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.