• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NA VIFAA TIBA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI IGWACHANYA

Tarehe iliyowekwa: October 13th, 2023


Na. Rukia Omary,
13 Oktoba 2023

Maafisa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Nyanda za Juu Kusini wametoa elimu ya matumizi sahihi ya Dawa na Vifaa Tiba kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Igwachanya Wilayani Wangingómbe ikiwa ni wajibu wao kutekeleza sera ya Afya.

Elimu hiyo imetolewa na Afisa Uhusiano, Bi. Maria Sanga ameelezea kuhusu wajibu na shughuli zote zinazofanywa na Mamlaka hiyo (TMDA) ikiwemo kujiridhisha na ubora wa dawa (bidhaa), kusajili viwanda vyote vyenye kutengeneza vifaa tiba, ukaguzi wa dawa (bidhaa) zikiwa sokoni na kukusanya taarifa (data) kutoka kwa watumiaji waliopatwa na madhara/athari mbalimbali baada ya matumizi ya dawa. Pia kufanya uchunguzi wa vifaa tiba na dawa kupitia maabara kubwa maalumu zinazotambulika na serikali ili kubainisha usalama wa vifaa hivyo kwa watumiaji.



Kwa upande wa Afisa Mkaguzi wa Dawa, Adam Sarota amesema matumizi mabaya ya dawa hupelekea madhara katika mwili wa binadamu haswa katika figo na maini ambavyo huathirika kwa haraka na kemikali ambazo zisipotumika kwa kiwango sahihi hupelekea sumu. Hata hivyo yapo mambo mgonjwa anatakiwa kuzingatia wakati anatumia dawa hizo, pia anapaswa kuwa na uhakika wa dawa anazotumia kwa kuzingatia muda sahihi wa dozi ya dawa hizo.

Mafunzo hayo yamekuwa na ushirikishwaji haswa kwa Wanafunzi kupewa fursa za kuuliza maswali, kutoa maoni, changamoto na ushauri nini kifanyike ili kuboresha uhusiano baina ya taasisi hiyo, jamii na watoa huduma za madawa ikiwa na lengo la kufichua na kupunguza athari mbalimbali zitokanazo na utumiaji wa dawa zisizo salama kwa afya ya binadamu.



Aidha Maafisa wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) wametumia fursa hiyo kushukuru uongozi wa Shule ya Sekondari Igwachanya na Halmashauri ya Wilaya ya Wangingómbe kwa ushirikiano wao katika kutekeleza sera za afya katika wilaya hiyo. Programu hii ni mahususi  na endelevu kwa ajili ya Utoaji Elimu kwa Umma yenye Kauli Mbiu “TMDA – Hulinda Afya ya Jamii”.




Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.