• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ELIMU YA LISHE MTAMBUKA YATOLEWA KIJIJI CHA CHALOWE WILAYA YA WANGING’OMBE

Tarehe iliyowekwa: December 18th, 2023

Na. Mwandishi Wetu,

Rukia Omary,



Halmashauri ya wanging’ombe kupitia Idara ya Afya wanatekeleza mpango wa huduma za Lishe mtambuka mwaka wa fedha 2024/2025. Wataalamu wa Afya na Lishe wanaendelea kutoa Elimu ya Afya na Lishe Kijiji , utolewaji wa matone ya vitamini kwa Watoto Pamoja Upimaji wa virusi vya Ukimwi kwa Kwa kutumia vipimo vipya vinavyotumia ute wa mate kubaini maambukizi ya VVU katika vijiji na Kata na siku ya Lishe imefanyika katika Kijiji Cha Chalowe Wilaya ya Wanging'ombe.

Afisa lishe Wilaya ya Wanging’ombe Bi. Zenobia Aloyce amefafanua suala la lishe ni muhimu wazazi kutambua makundi ya vyakula vya lishe kuimarisha afya ya mtoto na akili na kujikinga dhidi ya magonjwa ya utapiamlo na udumavu. Akatilia mkazo kwa wazazi kuwanyonyesha Watoto maziwa kwa kipindi cha miaka miwili na kuepuka kuwapa vinywaji vilivyosindikwa isipokuwa watumie matunda ya asili yenye virutubisho asilia.


Daktari wa Wilaya ya Wanging’ombe Bw. Alidius Muhule akiambatana na Bi Salome Lwendo waliwaelimisha wananchi kupima virusi vya Ukimwi kwa kutumia vipimo vinavyotumia ute wa mate kubaini maambukizi endapo utaona dalili zenye viashiria vyenye maambukizi ya Ukimwi na kuwaelekeza namna ya kutumia vipimo hivyo. Pia wakatoa ushauri kwa wale watakaobainika kuwa na maambukizi wafike haraka katika vituo vya Afya au zahanati kupima tena ili kujiridhisha kama kweli kuna maambukizi na kuanzishiwa huduma za dawa za kufubaza virusi mapema wasichukue maamuzi ya kutumia dawa  bila ushauri wa wataalamu.

Wananchi wa Kijiji cha Chalowe wameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kwa kupambana kuhakikisha wanatokomeza  udumavu na utapiamlo tutashirikiana na wataalamu wetu wa afya kupambana dhidi ya  janga hili.


Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.