• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DAKTARI NYANJA AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VITENDEAKAZI, SEKTA YA MIFUGO.

Tarehe iliyowekwa: September 21st, 2025

Na. Nickson Kombe,


MKURUGENZI Mtendaji, Halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe, Dkt. Peter Maiga Nyanja amezindua zoezi la ugawaji wa vitendeakazi kwa maafisa mifugo na kusisitiza kwamba vifaa hivyo vitumike katika kuboresha mchakato wa utoaji huduma kwa jamii za wafugaji ili kuinua afya ya mifugo yao na si kwa matumizi mengineyo.


Akizindua zoezi hilo leo Jumamosi Septemba 20, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri, Dkt. Nyanja amesema Serikali haitarajii kuona vitendea kazi hivi vinazagaa mtaani na pengine kumilikishwa kwa wasiohusika.


Dkt. Nyanja akaendelea kusema lengo la ugawaji wa vitendeakazi hivyo kwa maafisa mifugo wote wilayani ni katika kuboresha na kutoa huduma kwa jamii za wafugaji, hivyo wameaswa kuwa mfano katika jamii zinazowazunguka.


Mkurugenzi, Dkt. Nyanja akaendela kusema Serikali awamu ya sita inayoongozwa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kwa vitendo kuwekeza katika eneo la Mifugo ili kuwawezesha vijana kupata ajira na kuzalisha ajira na kukuza uchumi kupitia shughuli mbalimbali.


Kwa hivyo vishikwambi 32, boksi maalumu la kubebea na kusafirisha chanjo (coolbox) 10, buti maalumu za kazi 10, vifaa vya kuvalishia hereni za ng'ombe 2, hereni za ng'ombe 77,000, automatic syringe 10, chanjo za ng'ombe 77,000, chanjo za kuku 270,000, pesa taslimu kwa ajili ya chanjo na utambuzi 20,900,000 na vifaa vinginevyo kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kukabidhiwa maafisa mifugo.


Aidha Mwakilishi wa Maafisa Mifugo, Dkt. Mfikwa ametumia fursa hiyo kuwakumbusha maafisa hao jinsi ya kuwajibika na kuwa karibu ki vitendo ili jamii za wafugaji ziige mazuri.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 June 28, 2025
  • TANGAZO LA KAZI, HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE August 19, 2025
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • DAKTARI NYANJA AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VITENDEAKAZI, SEKTA YA MIFUGO.

    September 21, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE.

    September 18, 2025
  • TANGAZO KUHUSU VIWANJA VYA UFWALA - WANGING'OMBE 2025.

    September 11, 2025
  • MITIHANI YA TAIFA DARASA LA SABA 2025.

    September 09, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.