• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TANGAZO LA AJIRA YA MUDA MFUPI

25 February 2022

 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

(Barua zote zitumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji)

 

Unapojibu tafadhali taja:-    

Kumb. Na. WDC/A.10/11/50                                                                                                                                                                                                                                                                                                        25 Februari, 2022

 

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA KUKUSANYA TAARIFA ZA ANWANI YA MAKAZI NA POSTIKODI

 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe anapenda kuwatangazia nafasi  240 za ajira ya muda kwa nafasi za wakusanya taarifa kwenye zoezi la anwani za makazi katika kata na vijiji vyote vya Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

SIFA ZA WAOMBAJI

Awe raia wa Tanzania mwenye umri kati ya miaka 18 – 34

Awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea.

Awe anamiliki simu janja android  kuanzia toleo la 8.10 yenye uwezo wa kukaa na chaji kwa siku nzima nauwezo wa kuhifadhi Taarifa kwa uwezo wa 32gb au zaidi.

Awe na uwezo wa kutumia program tumizi za Simu janja.

Awe na barua pepe (email address) na nywila (password) inayofanya kazi

Awe ana uwezo wa kusoma ramani za mitaa

Awe ni mkazi wa kata/kijiji husika

Awe na uwezo wa kufanya kazi kwa muda mrefu.

KAZI NA MAJUKUMU

Kugawa/kuandika namba za nyumba, viwanja na maeneo ya huduma

Kukusanya taarifa za nyummba, viwanja na maeneo ya huduma

Kukusanya taarifa za wamiliki wa nyumba, viwanja na maeneo ya huduma kwa kutumia mfumo wa anwani za makazi.

Kazi hii itafanyika kwa muda wa siku 20

MAOMBI YAAMBATANISHWE NA :

Nakala ya cheti cha kidato cha nne na kuendelea

Nakala ya cheti cha kuzaliwa

Picha (passport size 2)

Barua ya maombi ipite kwa mtendaji wa  Kata anapoishi.

JINSI YA KUTUMA MAOMBI

Barua zote za maombi ziandikwe kwa mkono zikiwa na anwani kamili  ya mwombaji, namba ya simu, barua pepe ziwasilishwe ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya kwa anwani ifuatayo:

MKURUGENZI MTENDAJI 

HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING’OMBE

S.L.P 64

NJOMBE

TAREHE YA MWISHO KUPOKEA MAOMBI

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 01/03/2022 saa 9:30 Alasiri.

 Ferd Y Mhanze

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji

Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe

                                     

Barua zote zitumwe kwa Mkurugenz  wa  Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe, S. L. P. 64 Njombe, unaweza pia kuwasilianan nasi kwa Simu/Nukushi Na: +255026 2782111,

Tovuti: www.wangingombedc.go.tz, Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.