• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WANANCHI KATA YA WANGAMA WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

Tarehe iliyowekwa: March 12th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe ametoa wito kwa wananchi wa kata ya Wangama kuweza kushiriki kuchangia nguvu katika ujenzi wa Kituo cha Afya kinachojengwa katika kata hiyo,Mhe Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo leo Tarehe 12/3/2022 akiwa  katika kata ya Wangama akizindua ujenzi wa Kituo cha afya “.Ninawaomba sana Wananchi muweze kujitolea kwa kiasi kikubwa nguvu zenu ili ujenzi wa kituo hiki cha afya unaojengwa kwa mapato ya ndani uweze kukamilika kwa haraka ili kuunga jitihada za Halmashauri “Alisema Mhe Mkuu wa Wilaya  Lautery John Kanoni.

Hafla ya uzinduzi ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri Bi Maryam Muhaji , Mhe Diwani wa Kata Mhe Mwalongo,Mganga Mkuu Dr Frank Chiduo,Afisa Mipango Ndg Niceforus Mgaya na Mtendaji wa Kata hiyo Upendo Fute.

Mkurugenzi Mtendaji Bi Maryam Muhaji amesema Halmashauri imeamua kujenga Kituo cha Afya Wangama kwa kutumia Mapato yake ya Ndani ikiwa ni kutekeleza agizo la Serikali la Kujenga Kituo cha Afya kulingana na Makusanyo yake ya Ndani.”Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe katika bajeti yake ya mwaka 2021/2022 imetenga Jumla ya Kiasi cha Tsh 250,000,000/= kwa ajili ya kuanza kujenga Kituo hicho ambapo mpaka sasa Halmashauri kupitia mapato yake ya ndani imeshapeleka Jumla ya Tsh 100,000,000/= kwa ajili ya Ujenzi huo pia kiasi cha Tsh 250.000.000/= kimetengwa katika Bajeti ya Mwaka 2022/2023 ili kukamilisha kiasi cha Tsh 500,000,000/= kinachohitajika kukamilisha ujenzi huo”. Alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Aidha akielezea utaratibu wa Ujenzi huo Mganga Mkuu wa Wilaya Daktari Frank Chiduo amesema  majengo yatakayo jengwa ni majengo saba yenye thamani ya Tsh 500,000,000/= ikiwa ni Jengo la wagonjwa wa nje,Jengo la Mama na Mtoto, Jengo la Upasuaji,Jengo la Maabara,Jengo la kuhifadhia Maiti, Jengo la Kufulia  na Nyumba ya Mtumishi kwa sasa utekelezaji unaanza na Ujenzi wa Jengo la Wagojwa wa nje yaani OPD.

Nae Mheshimiwa Diwani wa kata ya Wangama Mhe Mwalongo alitoa shukrani kwa Serikali kwa kuamua kujenga Kituo cha afya katika kata yake amesema kituo hicho kitakuwa ni ukombozi mkubwa kwa wananchi wake, alimhakikishia Mkuu wa Wilaya kuwa Wananchi watashiriki kikamilifu kuhakikisha ujenzi huo unakamilika kwa wananchi kutoa mchango wao katika ujenzi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.