• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WANANCHI KATA YA IMALINYI WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

Tarehe iliyowekwa: March 17th, 2022


Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe ametoa wito kwa wananchi wa kata ya Imalinyi kuweza kushiriki kuchangia nguvu katika ujenzi wa Kituo cha Afya kinachojengwa katika kata hiyo,Mhe Mkuu wa Wilaya ameyasema hayo leo Tarehe 17/3/2022 akiwa katika kata ya Imalinyi akizindua ujenzi wa Kituo cha afya. “Ninawaomba sana Wananchi muweze kujitolea kwa kiasi kikubwa nguvu zenu ili ujenzi wa kituo hiki cha afya unaojengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu uweze kukamilika kwa haraka ili kuunga jitihada za Serikali “ Alisema Mhe Mkuu wa Wilaya Lautery John Kanoni.

Hafla ya uzinduzi ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mhe Agnetha Mpangile Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe Diwani wa Kata Mhe Onesmo Lyandala,Mganga Mkuu Dr Frank Chiduo, na Mtendaji wa Kata hiyo Jovitha Sanga

Mhe Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe amesema Serikali katika jitihada zake za kuboresha huduma za afya imeleta Fedha Tsh 250,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa Kituo hicho na Serikali itaendelea kuleta fedha nyingine ili kukamilisha kiasi cha Tsh 500,000,000/= ambazo ndio kiasi cha fedha kinachoweza kukamilisha majengo saba yanayotakiwa kujengwa.

Nae Mheshimiwa Diwani wa kata ya Imalinyi Mhe Onesmo Lyandala ametoa Shukrani zake kwa Serikali ,Mbunge Mhe Festo Dugange kwa kuhakikisha Kituo cha Afya iImalinyi kinajengwa  amemhakikishia Mhe Mkuu wa Wilaya kuwa wananchi wa Imalinyi wapo tayari na wameupokea Mradi  kwa moyo mweupe na wapo tayari kuchangia nguvu zao ili kuona Mradi unakamilika na ikiwezekana kufanya na jambo jingine katika ujenzi huo.

Aidha akielezea utaratibu wa Ujenzi huo Mganga Mkuu wa Wilaya Daktari Frank Chiduo amesema majengo yatakayo jengwa ni majengo saba yenye thamani ya Tsh 500,000,000/= ikiwa ni Jengo la wagonjwa wa nje,Jengo la Mama na Mtoto, Jengo la Upasuaji,Jengo la Maabara,Jengo la kuhifadhia Maiti, Jengo la Kufulia na Nyumba ya Mtumishi kwa sasa utekelezaji unaanza na Ujenzi wa Jengo la Wagojwa wa nje yaani OPD.

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.