• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Utekelaji Anwani za Makazi wafikia asilimia 67 kwa Ikoa yote

Tarehe iliyowekwa: March 31st, 2022







Utekelezaji Operesheni Anwani za Makazi wafikia asilimia 67


Na. Fred Kibano, OR - TAMISEMI 


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Innocent Bashungwa amesema kazi ya utekelezaji wa operesheni ya anwani za makazi kwenye mikoa yote Tanzania Bara imefikia asilimia 67 ya utekelezaji wake.


Waziri Bashungwa ameyasema hayo wakati wa kikao kazi kati ya Wakuu wa Mikoa, Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia kuhusu uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji wa operesheni ya anwani za makazi nchini Jijini Dodoma hii leo. 


“tumefikia asilimia 67 lakini bado tuna kazi kubwa ya kufanya, sina shaka na Wakuu wa Mikoa, naamini hili la operesheni ya Anwani za Makazi mtafanya vizuri” ,alisema Waziri Bashungwa. 


Aidha, Waziri Bashungwa amesema kwa sasa kazi iliyobakia ni kuongeza hamasa kwenye kazi hiyo na kutoa elimu kwa wananchi ili kazi hiyo iendelee vizuri na kufikia malengo yanayotarajiwa na Serikali.


Naye Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nnape Nnauye amesema zoezi la utekelezaji wa operesheni ya anwani za makazi limekwenda vizuri na linatarajiwa kukamilika kabla ya muda uliopangwa ambao ni tarehe 22 Mei, 2022 ikiwa ni pamoja na kukamilisha Mfumo wenyewe wa anwani za makazi ambao upo chini ya wizara yake. 


Waziri Nape Nnauye amesema kwa hivi sasa Serikali inaendelea kutambua maoni yaliyotolewa, kutoa elimu kwa wananchi, kuandaa taarifa, kutengeneza taarifa hizo na kuziingiza kwenye mfumo ikiwa ni pamoja kuuweka mfumo wenyewe ili ufanye kazi.


Kwa upande wake Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amesema lengo la kikao kazi ni kujadili namna ambavyo Wakuu wa Mikoa wanaendelea kutekeleza operesheni ya anwani za makazi Tanzania Bara lakini pia zoezi hili linaendelea na Zanzibar kazi ambayo inakwenda sambamba na Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika mwezi Agosti, 2022.


Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongela amesema zoezi la anwani za makazi linaendelea vizuri kama ambavyo wizara iliwapa maelekezo kwani fedha za kazi hiyo zilipokelewa ijapokuwa kuna maeneo machache ambayo yalikuwa na tatizo la kimtandao wakati wa kutumia fedha za kazi hiyo.


Amesema baadhi ya changamoto zilijitokeza ni uwingi wa watu kwa baadhi ya mikoa pamoja na maeneo makubwa ya makazi lakini wanashukuru wizara zilituma timu za wataalam katika kusaidia utekelezaji wa kazi hiyo. 


Zoezi la anwani za makazi linafanywa na wizara mbili kwa pamoja ambazo ni Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ambalo linatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe 22 Mei mwaka huu kama ilivyoagizwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan wakati akilizindua mnamo Februari, 8 mwaka huu.

















Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 WILAYA YA WANGING'OMBE December 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI March 18, 2019
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA July 09, 2019
  • MWENGE WA UHURU September 13, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • Utekelaji Anwani za Makazi wafikia asilimia 67 kwa Ikoa yote

    March 31, 2022
  • VIJANA 246 WAPATIWA MAFUNZO ANWANI ZA MAKAZI

    March 22, 2022
  • WANANCHI KATA YA IMALINYI WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

    March 17, 2022
  • WANANCHI KATA YA WANGAMA WAJENGEWA KITUO CHA AFYA

    March 12, 2022
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • REGISTRATION OF ALLIED HEALTH PROFESSIONALS
  • Mfumo wa maombi ya Ajira

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.