• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

SERIKALI IMEWAWEZESHA MAAFISA UGANI MIFUGO USAFIRI WA PIKIPIKI 6 ILI KUWAFIKIA WAFUGAJI WANGING'OMBE.

Tarehe iliyowekwa: February 16th, 2024

 










Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeendelea kuwawezesha Maafisa Ugani Mifugo usafiri wa pikipiki 6 (Cc 125) ili waweze kuwafikia wafugaji mbalimbali katika Wilaya ya Wanging'ombe na kuwasaidia wafugaji kufanya shughuli za ufugaji kwa ubora na utaalamu wenye manufaa kwa taifa na kukidhi mahitaji ya soko.

Akiongea kwenye hafla fupi ya Makabidhiano ya Pikipiki hizo, Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Mhe. Claudia Kitta amesema lengo kuu la uwezeshwaji vyombo hivyo vya usafiri ukazingatiwe na Maafisa Ugani Mifugo ili kuleta tija na manufaa yaliyokusudiwa kwa jamii za wafugaji wa wilaya ya Wanging'ombe.

Akifafanua mchango wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayosimamiwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe amesema katika kipindi cha miaka minne (2021 - 2024) Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe imepokea jumla ya pikipiki 45 kutokea Wizara za Kilimo, Ufugaji na Uvuvi ili kuwawezesha watumishi wa Idara husika kutekeleza majukumu yao ya msingi na kuleta tija na maendeleo ya shughuli za Kilimo, Ufugaji na Uvuvi.

Hata hivyo Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Wizara ya Ufugaji na Uvuvi imeendelea kusimamia lengo kuu la kutatua changamoto ya upungufu wa vyombo vya usafiri kwa Maafisa Ugani Kilimo (Ushirika), Ufugaji na Uvuvi ili kuongeza tija na kuwasaidia ushauri makundi ya wakulima, wafugaji na wavuvi kufanya shughuli zao kwa utaalamu utakaokuwa bora na manufaa zaidi kwa taifa na soko la bidhaa zao.

Kwa niaba ya Maafisa Ugani, Afisa Ugani Kilimo, Wanging'ombe, Bw. Henry Vahaye ameishukuru Serikali kwa kutambua umuhimu wa uboreshaji katika shughuli za Kilimo, Ufugaji na Uvuvi ambapo kwa miaka ya karibuni kumekuwa na mabadiliko ya kiwango cha juu cha Uzalishaji wa Vyakula, Mifugo na Uvuaji Samaki. Pia Elimu ya kufanya shughuli husika itasambaa zaidi na kusaidia kuleta tija na maendeleo katika Wilaya ya Wanging'ombe

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE 31 JULAI 2024 July 31, 2024
  • KUITWA KWENYE USAIL September 27, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025

    January 29, 2025
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MKURUGENZI MTENDAJI, DKT. PETER MAIGA NYANJA

    January 28, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.