• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

OPERESHENI UGONJWA WA MACHO IMEFANYIKA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA - WANGING’OMBE

Tarehe iliyowekwa: November 23rd, 2023

Na. Mwandishi Wetu,

Rukia Omary,


Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika, kutoka Shirika Lisilo La Kiserikali Helen Keller, Bw. Volkan Cakir amewezesha program maalumu ya operesheni ya mtoto jicho katika Hospitali ya Wilaya ya Wanging’ombe iliyopo Kijiji cha Ihanja, Tarafa ya Mdandu.

Meneja Mradi wa Helen Keller International Bw. Athman Tawakal amesema Wizara ya Afya kushirikiana na Taasisi hii imeona Wilaya ya Wanging’ombe inauhitaji mkubwa sana wa wananchi kupatiwa huduma hii kwasababu ugonjwa huu umepelekea ulemavu wa kutoona hivyo wagonjwa watapata matibabu haya bila gharama yoyote na kuhakikisha tatizo hili linatibika kabisa na upasuaji huu unalenga kutoa matibabu kwa wagonjwa zaidi ya 500 kwa muda wa siku tano ndiyo malengo chanya ya shirika hili.




Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Macho Barnabas Mshangila ameongoza Jopo la madaktari wa magonjwa ya macho kutoka hospitali ya Rufaa Mbeya na Njombe kufanya upasuaji wa awali kuondoa mtoto jicho (ugonjwa wa macho) katika Hospitali ya Wilaya. Daktari bingwa wa Rufaa Mbeya Barnabas Mshangila amesema upasuaji huu awali ulilenga katika upasuaji wa ugonjwa wa vikope lakini ukaibuka ugonjwa mwingine wa mtoto jicho hivyo shirika hili la Helen Keller lnternational limelenga kusaidia jamii katika kutatua tatizo la ugonjwa huu wa macho ambao unaathiri kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kutoona.
 
 
Mratibu wa Huduma za Macho Mkoa wa Njombe Daktari Simon Luvanda ametoa wito kwa Jamii iweke utaratibu wa kufanya vipimo vya macho marakwamara kwani ugonjwa huu wa mtoto jicho hauna maumivu yoyote isipokuwa unaathiri jicho na kupoteza nuru ya kuona kabisa kama usipochukuliwa hatua mapema.

Wananchi wa Wilaya ya Wangingombe kutoka katika kata, Vijiji na Wilaya mbalimbali Mkoani Njombe wameshukuru serikali ya awamu ya sita Ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Kushirikiana na Taasisi hii kuleta huduma vijijini na Kutatua changamoto ya ugonjwa huu wananchi wanaomba aendelee kuwajali zaidi. 


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA WANGING'OMBE 31 JULAI 2024 July 31, 2024
  • KUITWA KWENYE USAIL September 27, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI September 27, 2024
  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025

    January 29, 2025
  • HERI YA SIKU YA KUZALIWA, MKURUGENZI MTENDAJI, DKT. PETER MAIGA NYANJA

    January 28, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.