• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

MAHAKAMA WILAYA YA WANGING'OMBE YAADHIMISHA WIKI YA SHERIA

Tarehe iliyowekwa: February 1st, 2024




Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Mhe. Claudia Kitta ameshiriki Kuadhimisha siku ya Wiki ya Sheria Kitaifa ambayo imefanyika katika Mahakama ya  Wilaya ya Wanging'ombe. Siku hii maalumu ya Sheria ilianzishwa na Mahakama kuu ya Tanzania kwa lengo la kutoa Elimu ya sheria kwa Wananchi ambayo hufanyika Februari, Mosi kila Mwaka.

Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Mhe.Claudia Kitta amesema katika Maadhimisho hayo ya Wiki ya Sheria yaliyobeba Kauli Mbiu ya "Umuhimu wa Dhana ya Haki kwa Ustawi wa Taifa: Nafasi ya Mahakama na Wadau katika Kuboresha Mfumo Jumuishi wa Haki Jinai" MKuu wa Wilaya amefafanua ,kauli Mbiu hii inagusa maeneo yote muhimu ikiwemo kuwashirikisha wadau katika mpango wa utoaji Haki.
Akatilia mkazo Kwa kuwaagiza wanasheria na Viongozi mbalimbali katika Wilaya watumie Elimu hii ya sheria katika kutatua makosa ya Jinai yanayofanyika katika jamii zetu na kuyafumbia macho hasa ukatili wa kijinsia, mauaji, masuala ya rushwa,ubakaji  na Imani potofu.Jamii zetu zimekuwa na uoga wa kuripoti matukio ya kikatili yanayofanyika kwa kuhofia kutoa ushahidi pale sheria inapochukua hatua zaidi dhidi ya ripoti hizo hivyo wananchi wawe huru kutoa taarifa na sheria zitakulinda .


Aidha, Mwanasheria MKuu wa Mahakama ya Wilaya Bw.James Emmanuel Mhoni amefafanua kuwa wiki ya Sheria ni kiashiria Cha kuanza kwa shughuli za sheria hivyo sheria inatoa fursa kwa Wananchi kujifunza umuhimu wa sheria na kutambua majukumu ya Mahakama jinsi inavyotumia sheria hizo kutekeleza majukumu ya kazi zake na zinavyomsaidia mwananchi katika kutafuta Haki na kupata Elimu kuhusu sheria hii itawafungulia njia ya kujiamini na kufika mahakamani kuwasilisha kesi zenu zote zitasikilizwa.

Maadhimisho hayo ya Wiki ya sheria yamehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Kisiasa, Katibu Tawala Wilaya,Mkurugenzi Mtendaji , Jeshi la Wananchi, Jeshi la kujenga Taifa, Jeshi la Akiba, Viongozi wa Dini mbalimbali Wanafunzi na Wananchi wa kutoka vijiji na Kata mbalimbali Kuungana Kuadhimisha.


Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.