• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

KAMPENI YA UZINDUZI WA LISHE YAFANYIKA WILAYA YA WANGING'OMBE

Tarehe iliyowekwa: January 25th, 2024

Na. Mwandishi Wetu, 

Rukia Omary


Katika kuhakikisha udumavu ndani ya Wilaya ya Wanging'ombe unatokomezwa wananchi katika Wilaya ya Wanging’ombe wamejitokeza kwa wingi kuweza kusikiliza na kupata Elimu juu ya lishe,Wananchi hao wamejitokeza katika viwanja vya Soko Makao makuu ya Halmashauri ambapo mkutano huo umeandaliwa na viongozi katika Wilaya ya Wanging'ombe.

Mkutano huo umehudhuriwa na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Wanging’ombe Mhe. Mkuu wa Mkoa amewaasa wananchi kuhakikisha wanapata chakula chenye makundi yote na kuacha tabia ya Kuwapa pombe watoto pindi wanapokuwa kwenye shughuli zao kwani kwa kufanya hivyo watoto wanakosa virutubisho mwilini na kuwa wadumavu, amewaomba wananchi kila moja kwa nafasi yake kuhakikisha wanapambana na tatizo hilo la udumavu ili kuwezesha kuwa na kizazi chenye afya siku zijazo.

Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali ndani ya Wilaya ambapo Bi Veronica Gerald Sanga ambae ni katibu Tawala wa Wilaya ya Wanging'ombe akimwakilisha Mhe. Mkuu wa Wilaya amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa wananchi wa Wanging'ombe wanamapokeo chanya juu ya jitihada za kutokomeza udumavu ambapo kwa sasa imekuwa ni agenda ya kudumu katika vikao namikutano mbalimbali, Katibu Tawala amewashukuru wadau mbalimbali ambao wamejitokeza kuunga mkono kampeni za kutokomeza Udumavu.

Katibu Tawala amesema kauli mbiu yetu ya kujaza tumbo sio lishe Jali unachokula inatoa hamasa kubwa ya kupambambana na Udumavu kwa sababu Mkoa wa Njombe umebarikiwa kuwa na vyakula vya kutosha na vya kila aina hivyo ni wajibu wetu wananchi wa Wanging'ombe kula kwa kufuata kanuni za lishe ili kuhakikisha vyakula tulivyonavyo vinaboresha afya zetu.

Aidha , viongozi wa dini wameipongeza Serikali ya Wilaya ya Wanging’ombe pamoja na Mkoa kwa kufanya mikutano hiyo ya kuhamasisha wananchi kupambana na udumavu wamewaomba wananchi wenzao kuzingatia elimu hiyo na kuhakikisha kila moja katika familia yake anaweka utaratibu wa kupata lishe bora ili kuwezesha familia kuwa na Afya njema na kisha kutokomeza Udumavu.


Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.