• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE (NHIF) YATOLEWA KWA WADAU WA AFYA.

Tarehe iliyowekwa: February 6th, 2026

Na. Baraka Tarimo,


MKUU wa wilaya ya Wanging'ombe, Mhe. Zakaria Mwansasu ametoa elimu ya utekelezaji wa bima ya afya kwa wote (NHIF) ikiwa lengo ni kuwajengea uwezo wadau wa afya ili kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko huo.


Elimu hiyo imetolewa leo tarehe 06 Februari 2026 katika Ukumbi wa Halmashauri, ambapo Mhe. Mwansasu amesema katika siku 100 za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi bima ya afya kwa wote (NHIF) kwa lengo kuhakikisha usalama wa afya kwa wananchi wake.


Imeelezwa ya kuwa “Faida za kujiunga na mfuko wa bima ya afya kwa wote (NHIF) ni pamoja gharama nafuu ambapo kifurushi cha shilingi 150,000/= kinahudumia watu sita (Baba, Mama na Watoto/Ndugu/Wazazi wanne) kwa mwaka mmoja. Pia katika kifurushi hicho utapata huduma za vipimo 43 vya maabara, vipimo 37 vya radiolojia, huduma za dawa na vifaa tiba 247, huduma za upasuaji mkubwa na mdogo 37 pamoja na huduma za rufaa kuanzia ngazi Zahanati hadi Hospitali ya taifa”.


Aidha wadau wa Afya baada ya kupokea elimu hiyo wameshauri ya kuwa uboreshaji wa mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ni muhimu ili kuendana na kasi ya utoaji huduma bora ila pia kupunguza urasimu wakati wa utoaji wa huduma za afya.











Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI JIMBO LA WANGING'OMBE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025.. October 15, 2025
  • Itizame yote

Habari mpya

  • DKT. NINDI AAHIDI KUFANYA MKOA WA NJOMBE KUWA WA KIPEKEE ZAIDI.

    February 13, 2026
  • MITI 2,000 YAPANDWA KATIKA MJI WA IGWACHANYA-WANGING'OMBE.

    February 12, 2026
  • WAZAZI WAASWA KUWALINDA WATOTO DHIDI YA VITENDO VYA UKATILI - WANGING’OMBE.

    February 11, 2026
  • ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE (NHIF) YATOLEWA KWA WADAU WA AFYA.

    February 06, 2026
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.