• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

DC WANGING’OMBE KUSULUHISHA MGOGORO MPANGO WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI KATA, IGIMA

Tarehe iliyowekwa: September 26th, 2023

Na. Mwandishi Wetu,

Nickson Kombe - Wanging'ombe.



Mkuu wa Wilaya Wanging’ombe, Mheshimiwa Claudia Kitta kusuluhisha mgogoro mpango wa ujenzi shule ya Sekondari Kata ya Igima ambapo Kamati ya Maendeleo ya Kata (KAMAKA) baada ya kushindwa kukubaliana ni Kijiji kipi kati ya Lusisi na Nyumbanitu Shule hiyo inatakiwa kujengwa.

Akihutubia Wananchi wa Kata ya Igima, Mh. Claudia Kitta amesema kutokana na ongezeko kubwa la wanafunzi wanaojiunga Sekondari kata ya Igima na kupelekea Shule ya Sekondari iliyopo Kijiji mama cha Igima kuwepo na wanafunzi wengi kuzidi wastani wa Wizara ya Elimu, Serikali kushirikiana na wananchi wa kata ya Igima imeamua kufanya ujenzi wa Shule nyingine ya Sekondari ili kupunguza changamoto za umbali kwa wanafunzi kuelekea mashuleni.

Hata hivyo Mhe. Claudia Kitta ameeleza kuwa kupitia Mwaka huu wa fedha Serikali ina mpango wa kuongeza Shule ya Sekondari Kata ya Igima hivyo ikishirikiana na Wananchi na Kamati ya Maendeleo ya Kata (KAMAKA) wachague eneo linalokidhi vigezo na mpango huo wa Ujenzi wa Sekondari utekelezwe. Ambapo Mwenyekiti wa KAMAKA, Diwani Kata ya Igima, Paulina Samata ameelezea hali ya wajumbe wa Kamati hiyo kushindwa kukubaliana  kuhusu Kijiji kipi Sekondari hiyo ijengwe na kuamua kuomba msaada kutoka kwa Wataalamu wa Halmashauri, Wanging’ombe.


Katibu Tawala Wilaya, Veronica Sanga amesema mgogoro huu ni wa kimaendeleo hivyo basi utayari wa wananchi wote kutoka vijiji vya Lusisi na Nyumbanitu ni chachu ya maendeleo ya Kata. Ingawa wanatakiwa kufikia makubaliano kwa sababu bajeti ya mpango wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Kata ni kwa ajili ya Shule Moja tu. Hivyo basi kama wataalamu wa Halmashauri walipita kufanya ukaguzi vijiji vyote na kushauri ni Kijiji kipi kinakidhi vigezo vya Ujenzi huo na wakatoa maoni ya kuwa Kijiji cha Nyumbanitu kinastahili kujengwa Shule ya Sekondari Kata, Igima.

Aidha Katibu Tawala Wilaya ametumia fursa hiyo kutoa utaratibu wa upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa.



Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA LEO 09 MEI,2021 May 09, 2021
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAPOKEZI YA FEDHA ZA MIRADI YA VITUO VYA AFYA VITATU (3) - 1,869,307,194 /=

    May 27, 2025
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA WA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, HOSPITALI YA WILAYA YA WANGING'OMBE

    May 20, 2025
  • TUZO ZATOLEWA KWA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025, NGAZI YA WILAYA - WANGING'OMBE.

    May 16, 2025
  • VIJIJI 10 VYA WANGING'OMBE KUNUFAIKA NA HATI ZA KIMILA 3,010

    May 13, 2025
  • Itizame yote

Video

MAKALA YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN WILAYA YA WANGING'OMBE
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)
  • Registration Of Allied Health Professionals
  • Mfumo wa maombi ya Ajira
  • baraza la taifa la elimu ya ufundi

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • Mfumo wa Malalamiko na Pongezi
  • UTUMISHI
  • MFUMO WA SIS(SCHOOL INFORMATION SYSTEM)
  • TAMISEMI
  • BUNGE

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Copyright ©2021 Wanging'ombedc . All rights reserved.