• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Idara ya Ardhi na Maliasili

IDARA YA ARDHI NA MALIASILI

Utangulizi

Idara ya Ardhi na Maliasili inaundwa na Sekta ya Ardhi na Maliasili, ikiwa na jumla ya vitengo saba (7) ambapo Sekta ya Ardhi ina jumla ya vitengo vinne (Ardhi, Mipangomiji, Upimaji na Ramani pamoja na Uthamini) na Sekta ya Maliasili ina jumla ya vitengo vitatu (Misitu, Wanyama Pori na Utalii).

Taarifa za Watumishi

Idara ina jumla ya watumishi saba (7).

Sekta ndani ya Idara na shughuli zake

Sekta ya Ardhi na Majukumu ya kila Kitengo

Kitengo cha Mipangomiji

Kuandaa mipango ya maeneo yaliyoendelezwa kiholela

Kuhuisha ramani za msingi kwa kushirikiana na kitengo cha Upimaji na ramani

Kutayarisha michoro ya mipangomiji

Kutayarisha mipango ya matumizi bora ya ardhi ya vijiji

Kuratibu utekelezaji ya michoro ya mipangomiji iliyobuniwa

Kuchambua, kukagua na kutoa mapendekezo yanayohusu mabadiliko ya matumizi ya ardhi na umegaji wa viwanja

Kupitia na kufanyia marekebisho michoro ya mipangomiji

Kuhakiki mapendekezo ya mipango kama yanakidhi haja za kimazingira (Environmental Impact Assessment)

Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya ardhi

Kupokea na kushughulikia migogoro inayohusiana na matumizi ya ardhi

Kutoa mapendekezo ya masharti ya uendelezaji wa ardhi

Kutambua na kukagua maeneo yenye athari za kimazingira (hazardous lands)

Kukagua na kupitisha ramani kwa ajili ya vibali vya ujenzi

Kutoa elimu kuhusiana na masuala ya mipangomiji na vijiji

Kitengo cha Upimaji na Ramani

Kufanya upimaji wa viwanja kulingana na michoro ya mipangomiji iliyoidhinishwa

Kufanya upimaji wa mashamba

Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani

Kupokea na kushughulikia migogoro ya mipaka ya mashamba na viwanja

Kurudishia alama za upimaji inapohitajika

Kutoa elimu kuhusiana na masuala ya upimaji na ramani

Kuhakiki na kutunza kumbukumbu za upimaji miliki (cadastral database)

Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya Upimaji na utayarishaji wa ramani

Kitengo cha Uthamini

Kupokea maombi ya kufanya uthamini

Kukagua, kupima na kuanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu (data bank)

Kufanya uthamini kwa madhumuni mbalimbali (malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania (balance sheet) na mauzo ya mali)

Kusimamia, kuhakiki na kudhibiti uandaaji wa kumbukumbu zinazohusu utekelezaji na mwenendo wa soko la ardhi

Kusimamia utekelezaji wa miongozo na sera za serikali

Kukagua taarifa za uthamini wa serikali na makampuni binafsi na kuwasilisha mapendekezo kwa Mthhamini Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kupitishwa

Kufanya uthamini wa mali zinazokutwa katika eneo la mpango

Kukokotoa na kutayarisha taarifa za uthamini

Kutoa elimu kuhusiana na masuala ya Uthamini

Kitengo cha Ardhi

Kuingiza kumbukumbu katika komputa

Kutoa ushauri kwa wateja

Kushughulikia utayarishaji wa nyaraka za kisheria

Kufanya ukaguzi wa viwanja

Kutoa notisi na kupendekeza ubatilishaji wa miliki kwa viwanja visivyoendelezwa kwa mujibu wa sheria

Kuwasiliana na wateja kuhusu hati zilizotayarishwa na kuwakabidhi

Kutoa ushauri na mapendekezo ya utoaji upya miliki na ulipaji fidia za ardhi

Kutoa ushauri wa ugawaji wa viwanja na mashamba makubwa zaidi ya ekari 500

Kuchambua migogoro ya ardhi na kutoa ushauri

Kudhibiti masharti ya uendelezaji ardhi

Kuratibu masuala ya Ardhi juu ya elimu kwa umma

Matangazo

  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi Kidato cha Tano Tarajali na Vyuo vya Kati April 01, 2021
  • SIS MOBILE APPLICATION April 01, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA UALIMU SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI March 02, 2019
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI March 18, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • NAIBU WAZIRI TAMISEMI DR DUGANGE ATOA WITO KWA WATUMISHI WA AFYA NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZUNGATIA MAADILI

    April 10, 2021
  • ZAIDI YA MILIONI MIANNE ZA TENGWA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU WILAYANI WANGING’OMBE MKOANI NJOMBE

    April 09, 2021
  • MAELEKEZO YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS – TAMISEMI, MHESHIMIWA UMMY ALLY MWALIMU (MB.) KUHUSU MATOKEO YA UKAGUZI WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2019/20

    April 10, 2021
  • MAENDELEO YA NCHI YATALETWA NA WANANCHI WENYE AFYA BORA KUPITIA CHF ILIYOBORESHWA

    November 07, 2019
  • Itizame yote

Video

Fahamu kuhusu virusi vya corona
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe.

    Sanduku la Posta: P.o.Box 64 Njombe

    Simu ya mezani: +255 262969033

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Hati miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Haki zote zimehifadhiwa