• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Ukaguzi wa Ndani

KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

•    Kitengo cha Ukaguzi wa ndani ni moja ya vitengo vya kudumu katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe.

•    Kitengo kinafanya ukaguzi wa Idara na vitengo vyote vya Halmashauri na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji(W),Kamati ya ukaguzi,RAS,NAO na IAG.Taarifa hizi huandaliwa na kuwasilishwa kila robo mwaka.

•    Hata hivyo kitengo kinaweza kutoa ushauri pale utakapohitajika na kufanya ukaguzi maalumu kwa maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji(W)

•    Kitengo kinafanya kazi kwa kuzingatia Miongozo na sheria mbalimbali kama ifuatavyo;

•    Public Finance Act no 6 revised 2004 with its regulations.

•    Public procurement Act 2004 with its regulations 2005.

•    Public scheme of service.

•    Public service Act 2002 and its regulation 2003.

•    IPPF.

•    LAPF 2009.

•    Hoja na Maagizo yote ya kisheria.

IDADI YA WATUMISHI KATIKA KITENGO

Kitengo kina idadi ya Watumishi wanne(4) ambao wote wapo Makao Makuu ya Wilaya.

SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA KITENGO

•    Kuandaa Mpango kazi wa kila mwaka.

•    Kufanya ukaguzi kwa Idara na vitengo vyote kama ilivyoainishwa katika mpango kazi.

•    Kutoa ushauri kwa Mkurugenzi Mtendaji(W) kuhusu mfumo wa udhibiti wa ndani na ukaguzi wa nje.

•    Kuandaa taarifa ya kila robo mwaka na kuiwasilisha kwa Mkurugenzi Mtendaji(W),Mkaguzi wa nje,RAS na Mkaguzi Mkuu wa ndani wa serikali(IAG).

•    Kufanya kazi nyinginezo kwa maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji.



Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA UALIMU SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI March 02, 2019
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI March 18, 2019
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA July 09, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAENDELEO YA NCHI YATALETWA NA WANANCHI WENYE AFYA BORA KUPITIA CHF ILIYOBORESHWA

    November 07, 2019
  • MAPATO YA NDANI YAAKISI MAENDELEO YA KWELI KWA WANANCHI “KASINGE”

    August 01, 2019
  • KATAZO LA MATUMIZI YA MIFUKO YA PLASTIKI (RAMBO)

    May 13, 2019
  • Shilingi Milioni 94 kuwanufaisha akina Mama,Vijana na Walemavu Wanging'ombe

    January 23, 2019
  • Itizame yote

Video

Fahamu kuhusu virusi vya corona
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe.

    Sanduku la Posta: P.o.Box 64 Njombe

    Simu ya mezani: +255 262969033

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Hati miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Haki zote zimehifadhiwa