• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Kitengo cha TEHAMA

Kitengo cha Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ni kitengo huru chenye Mamlaka kamili katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Jukumu lake kubwa ni Kutoa Ushauri Kwa Mkurugenzi Mtendaji (W) kuhusiana na Masuala yote yanayohusiana na Mifumo ya Taarifa na Utendaji kazi.Mifumo hiyo ni mfumo wa Kuidhinisha malipo wa Epicor 9.05, mfumo wa Taarifa za Utumishi wa HCMIS/Lawson, mfumo wa Mapato LGRCIS, mfumo wa taarifa za takwimu za Idara ya Elimu wa BEMIS na PreM , Mfumo wa upangaji bajeti wa Plan Rep na mingine inayohusiana.


Sambamba na hilo, pia Kutoa Ushauri wa ujumla katika Idara na Vitengo katika Halmashauri kama vile masuala ya Manunuzi ya Vifaa bora vya Kitekinolojia na kuhakikisha matumizi sahihi na salama ya vifaa hivyo.


Malengo ya Kitengo cha TEHAMA ni kuwa na Matumizi sahihi na salama ya Tekinolojia kwa maendeleo ya Halmashauri.


Moja ya shughuli mahsusi zinazofanyika ni;


1. Kusimamia ufanisi wa mifumo yote katika Halmashauri.


2. Kutoa ushauri wa kitaalam katika Idara na vitengo.


3. Kusimamia na kuratibu mafunzo kazini juu ya masuala ya TEHAMA

Matangazo

  • TANGAZO LA UMILIKISHWAJI ARDHI February 13, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA UALIMU SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI March 02, 2019
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI March 18, 2019
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA July 09, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAENDELEO YA NCHI YATALETWA NA WANANCHI WENYE AFYA BORA KUPITIA CHF ILIYOBORESHWA

    November 07, 2019
  • MAPATO YA NDANI YAAKISI MAENDELEO YA KWELI KWA WANANCHI “KASINGE”

    August 01, 2019
  • KATAZO LA MATUMIZI YA MIFUKO YA PLASTIKI (RAMBO)

    May 13, 2019
  • Shilingi Milioni 94 kuwanufaisha akina Mama,Vijana na Walemavu Wanging'ombe

    January 23, 2019
  • Itizame yote

Video

Fahamu kuhusu virusi vya corona
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe.

    Sanduku la Posta: P.o.Box 64 Njombe

    Simu ya mezani: +255 262969033

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Hati miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Haki zote zimehifadhiwa