Ofisi ya Rais - TAMISEMI inapenda kuutangazia Umma kuwa Serikali imetoa kibali cha nafasi za ajira ya walimu ili kujaza nafasi wazi zilizopatikana kutokana na walimu waliofariki, walioacha kazi, waliofukuzwa utumishi na wastaafu kuanzia kipindi cha Julai, 2018 hadi Juni, 2019. Kwa sababu hiyo, OR-TAMISEMI imeandaa mfumo wa Online Teacher Employment Application System – OTEAS ambapo walimu wenye sifa watatuma maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia kiunganishi cha OTEAS
Walimu wanaotakiwa kutuma maombi ni wenye sifa za kitaaluma kama ifuatavyo:
A. WALIMU WATAKAOAJIRIWA SHULE ZA MSINGI
B. WALIMU WATAKAOAJIRIWA SHULE ZA SEKONDARI
C. SIFA ZA JUMLA
Waombaji wa nafasi tajwa hapo juu wawe na sifa za jumla zifuatazo:-
D. MWISHO
Maombi yote yawasilishwe kwa mtandao na yawe na nakala za vyeti vya taaluma, utaalamu na kuzaliwa. Waombaji wanatakiwa kutuma maombi yao kuanzia tarehe 27/02/2019 hadi 15/03/2019.
Imetolewa na
Katibu Mkuu
Ofisi ya Rais - TAMISEMI
Kuomba ajira bofya hapa
Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe.
Sanduku la Posta: P.o.Box 64 Njombe
Simu ya mezani: +255 262969033
Simu ya Kiganjani:
Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz
Hati miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Haki zote zimehifadhiwa