Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging`ombe
anapenda kuwataarifu Waombaji wote wa nafasi za kazi za Msaidizi wa
Kumbukumbu Daraja la II (nafasi 3) kuwa usaili unatarajiwa kufanyika
kuanzia tarehe 26 - 27 Machi, 2019 Kuona orodha ya majina ya walioitwa kwenye usaili bofyaTANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI[1205].pdf
Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe.
Sanduku la Posta: P.o.Box 64 Njombe
Simu ya mezani: +255 262969033
Simu ya Kiganjani:
Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz
Hati miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Haki zote zimehifadhiwa